Ni vema kijadili vitu vya ukweli kuliko kuleta ushabiki usio na tija. Kama kweli mboye kalichukua gari la kiongozi wa upinzani bungeni basi atakuwa amewaadaa wana CDM wenzake. Nasikia mpaka posho wanasaini kuzichukua kimya kimya nyinyi wana CDM wengine mnadanganywa wala hamjielewi. Bado miaka 3 kabla ya uchaguzi mpaka leo hakuna hata halimashauri moja iliyo chini ya CDM inayotoa elimu bure sijui mtawaambia nini wananchi mwaka 2015.