Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
Kweli nyani haoni kundule, sasa wakuu wa mkoa na wilaya kwani nao hawaendi vijijini?
Wakuu mie naulizia Shangingi V8 la Lema kaisharudisha bungeni?
issue si vx v8 bali issue ni strata nani apewe lipi ni aibu la waziri mkuu linapofanana na mkuu wa wilaya. Kuna alternatives nyingine za suvs kama land rover,vw audi mercs bmw land cruiser lx hardtop.
Lets say waziri mkuu apate vx v8 , mawaziri kawaida vx plain, naibi waziri say vw toareg wakuu wa mikoa landrover puma wakuu wa wilaya suzuki grand vitara na kadhalika.
Shida ni kwamba hakuna daraja nani apate lipi.
As well govt iki diversify pool ya magari itaweza kutathmini magari gani ni reliable running costs durability na vitu kama hivyo. Naona hiyo ndio hoja ya msingi hatuwezi condemn bila kuwa na suggestion kwa hao procurement officers wavivu wa kufikiri.
HILI LA CHIKU ABWAO NI MTUMBA (NI KAMA $30,000)
HILI LA MAREHEMU REGIA MTEMA (KAMA LA CHIKU ILA RANGI TOFAUTI)
HAYA YA SERIKALI NDIO V8 YA TZS 200,000,000
Kwani ni lake au la bunge?
MBOWE anatumia gari la kiongozi wa upinzani bungeni (KU) aina ya Land cruser V8 alilotangaza kurudisha bungeni na kweli alirudisha lakini kalichukua kimya kimya bila kutuambia ameamua kulichukua......siasa bana.
Dk. Slaa anadaiwa kulipwa mshahara zadi ya milioni 7 kwa mwezi ambao unazidi mshahara wa mbunge.
Tukipata maelezo yao dhidi ya tuhuma hizi itapendeza.
Dr Slaa na Josephine wakiwa Arusha wanapewa posho ya malazi sh. 250,000/- kila mmoja wakati wanalala chumba kimoja
kwa kweli mimi ni mwanachadema damu lakini kuna mahali hata nyie wachangiaji wenzangu tuwe tunaongea ukweli,KUHUSU KUTUMIA MAGARI YA KIFAHARI VIONGOZI CHADEMA HIYO TABIA WANAYO,kwa wale wanaofuatilia siasa za ndani kumbukeni siku ujumbe wa chadema ulioenda ikulu kuwasiliana na rais,haraka haraka niliona vx kali sio tu vx ili ina ubora wa kipekee wa wale viongozi,VX aliyokuwa kapanda mbowe sio ya kitoto hata mil 80 sidhani kama utaweza kuipata ,pili wabunge wengi wa chadema wana magari ya kifahari ingawa kuna wachache sana wanayakawaida,ANGALIA GARI YA REGIA MTEMA ALIYOPATANAYO AJALI,mtoto ana miezi kadhaa bungeni anatembelea vx tena viti maalum ,wakati baba yake hapo tabata tunamjua,KWELI KWA HILI VIONGOZI WA CHADEMA BADILIKIE TUMIENI RAV 4 NI GARI NZURI ,NGUMU,INAENDA BARABARA ZOTE MIL 20 TU INATOSHA BADALA LA HAYO YA MIL 80CHADEMA ilitoa hoja za msingi sana wakati wa Kampeni za Mwaka 2010 na zikakubalika na wananchi wa Tanzania.
Mgombea Urais wakati huo MH: Willbroad Peter Slaa na wagombea wa nafasi za Udiwani na Ubunge walikuwa wanatoa tuhuma kwamba serikali iliyopo madarakani inafuja fedha za wananchi kwa kununua magari ya kifahari aina ya Land Cruiser VX na V8 wakati fedha hizo zingetumika vizuri zingeleta maendeleo kwa wananchi. Katika kukoleza hoja hiyo ikaaminishwa kwamba kama CHADEMA ikishika madaraka basi magari hayo ya kifahari yatauzwa na madala yake yatanunuliwa magari madogo ya bei rahisi.
Slaa alikuwa anasema aina ya magari yanayotumiwa na Wakuu wa Wilaya na Mikoa thamani yake ni sawa sawa na gari moja kujenga Zahanati Nne vijijini. Wanachi waliambiwa kwamba magari hayo yatauzwa na fedha itakayopatikana itatumika kuwekeza kwenye Elimu.
Baada ya uchaguzi wa Mwaka 2010 viongozi wa CHADEMA hawatumii VX au V8 kwa matumizi ya kichama na yao binafsi, au thamani ya magari hayo imeshuka baada ya wao kuanza kuyatumia?
UKIKEREKA SEMA UPENDAVYO!!
Kazi ipo! Kwahiyo kununua Gari lako binafsi kuwe kuna sera kitaifa?MmmmmH!
kwa kweli mimi ni mwanachadema damu lakini kuna mahali hata nyie wachangiaji wenzangu tuwe tunaongea ukweli,KUHUSU KUTUMIA MAGARI YA KIFAHARI VIONGOZI CHADEMA HIYO TABIA WANAYO,kwa wale wanaofuatilia siasa za ndani kumbukeni siku ujumbe wa chadema ulioenda ikulu kuwasiliana na rais,haraka haraka niliona vx kali sio tu vx ili ina ubora wa kipekee wa wale viongozi,VX aliyokuwa kapanda mbowe sio ya kitoto hata mil 80 sidhani kama utaweza kuipata ,pili wabunge wengi wa chadema wana magari ya kifahari ingawa kuna wachache sana wanayakawaida,ANGALIA GARI YA REGIA MTEMA ALIYOPATANAYO AJALI,mtoto ana miezi kadhaa bungeni anatembelea vx tena viti maalum ,wakati baba yake hapo tabata tunamjua,KWELI KWA HILI VIONGOZI WA CHADEMA BADILIKIE TUMIENI RAV 4 NI GARI NZURI ,NGUMU,INAENDA BARABARA ZOTE MIL 20 TU INATOSHA BADALA LA HAYO YA MIL 80
Nenda kajipange upya
ka makubwa na madogo yana nafuu.ama kweli ww umenyimwa elimu na ndugu zako magamba hata huelewi nn maana ya serikali na utawala bora,usiweke hoja yoyote ile inayohusu mambo ya chadema maana unaonekana unazidiwa akili na zezeta kama LUSINDE(MB MTERA) ,hawa jamaa wa cdm wana watetea watanzania wote japo wao wanamali zao wala sio lazma eti kwa sasabab wanattea bac wao wawe maskin.ww umezoea na unaona raha kukaa na magamba wanaoficha ukweli wa utajiri wa mtanzania na raslimali zetu.kuanzia leo umeelimika
Dr Slaa na Josephine wakiwa Arusha wanapewa posho ya malazi sh. 250,000/- kila mmoja wakati wanalala chumba kimoja
Nakumbuka Slaa alitaja zaidi ya mara moja kuwa bei ya gari moja (hayo unayoyapigia kelele) ni zaidi ya shilingi milioni 200, je, kuna gari lolote CDM imelinunua kwa bei hiyo, ili hoja yako ipate uhalali wa kujadilika?
[h=5]Toyota Land Cruiser[/h]4,700 cc VX-LTD GH-UZJ100W, Automatic Hearte International Japan Co., Lt ... ID:531973-ATS0001-151896018103040897 | 2002 | 62,000 km |
| Right | US$24,752 ¥1,974,000 |
[h=5]Toyota Land Cruiser[/h]4,600 cc CBA-URJ202W, Automatic Murakami International Japan ID:1189750-111106072609 | 2011 | 5,000 km |
| Right | US$119,122 ¥9,500,000 |
Lipo kwa binti wa Asasi kule Iringa!Wakuu mie naulizia Shangingi V8 la Lema kaisharudisha bungeni?