Mashamba Mkuranga

Mashamba Mkuranga

Utaanza kujiuliza huyu mganga no yangu kaipataje kumbe uliiweka hadharan jf. Next time Fanya kum-pm mtu no yako
 
-Ina miezi mingapi mpaka sasa...?
-Ipo heka ngapi...?
-Unauzaje kwa heka moja...?
-Ipo Mkuranga sehemu gani mkuu...?

Shukran.
Ina miezi 7
ipo heka 2
Bei nipatie offer yako
ipo mkuranga - BUPU

Karibu
 
Nenda mbele kidogo ya mkuranga maeneo ya mwarusembe.....huko utakodi mashamba kwa bei nzuri Eka1 ni 25000 mpaka 30000

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom