Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,268
We weka no hadharan tu soon utaanza pokea zile SMS za mjukuu wangu biashara zako zitakunyookea cjui nini na nini0754741162

We weka no hadharan tu soon utaanza pokea zile SMS za mjukuu wangu biashara zako zitakunyookea cjui nini na nini0754741162

Mihogo ya aina gan???un
unataka kulima Muhogo, unalo soko? ninao muhogo mie, natafuta soko.
poa0754741162
kipembaMihogo ya aina gan???
kipemba
Ina miezi 7-Ina miezi mingapi mpaka sasa...?
-Ipo heka ngapi...?
-Unauzaje kwa heka moja...?
-Ipo Mkuranga sehemu gani mkuu...?
Shukran.
Muulize Mkwere. Yeye ni mzoefu wa kilimo cha nanasi.Nanas inavunwa baada ya miez mingap tangu kupandwa?
Ina miezi 7
ipo heka 2
Bei nipatie offer yako
ipo mkuranga - BUPU
Karibu