Mashaka juu ya uwezo wa air defence system ya Israel Iron Dome

hebu pata elimu hapo kwanza,,
umekunywa alkasusu huko unaanza kuongelea efficiency,for real


Sasa source ni Israel defence unategemea nini?waseme kuwa system yao ni weak ? Washindwe kujimwambafai na kuwaintimidate Hamas? Muwe mnatumiaga akili zenu hata kidogo basi.
 
Hakuna Vita isiyo na gharama! Israel inawa cost gharama kwa sababu inatumia vifaa vilivyotengenezwa kwa Advanced Tech wakati Wapalestina vita vinawagharimu Vifo na uharibifu wa majengo na miundombinu.
Kuhusiana na Defence system hakuna Defensive System yo yote duniani ambayo ni 100% efficient! Hata hii ya Russia S-400 ambayo ndiyo kwa sasa ni tishio ina mapungufu yake.
 
Hasara unayoiona wewe ni ni mabomu wakati kuna vifo vya watu hayo mabomu wanatengeneza Rohoo za watu waliokufaa unaenda kutengenezea wapi?
 
Sasa hivi hamas anasaidiwa na iran na lebanon , wakati myahudi yuko pekeyake, ila ukiona russia anakuja ujue mmarekan hachukui round kusaidia israel , nasema hivi hawa palestine wapigweee mpaka wachakae wamezidi kujitoa muhanga
Urusi hawezi pigana na Israel sababu wana Urafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada ni hivi ulinzi wa makombora ni kombora dhidi ya kombora na makombora yaliyotegwa kwaajili ya kujilinda huwa si mengi kihivyo maana vinu vya ulinzi maranyingi huwekwa katika miji muhimu na sehemu nyeti zaidi na wakati mwingine sehemu za mipakani . ulinzi wa Israeli ni thabiti ila ulinzi wa kimfumo hasa wa makombora hauwezi kuwa 100% maana vinu vinaweza kuwa 20 ila upinzani wakitupa komboza zaidi ya 30 kwa wakati mmoja baadhi ya makomboro lazima yatatua ardhini, ndo maana tunasema mfumo wa kiulinzi unapunguza madhara tu si kuzuia madhara yote,
Pia changamoto nyingine iliyopo katika vita ni uwezo wa mpinzani kuwa na nguvu ya kuwa na makombora ya masafa marefu na yaliyo na nguvu zaidi ya mpinani, pili kuwa na vinu vya kurushia makombora mengi kwa wakati mmoja,
Kiufupi huu mfumo ni kupunguza madhara tuu.

Maranyinge shabaha ya mwisraeli katika hivi vita ni kuharibu miundombinu na baadhi ya majengo ya palestina, kipindi Hesbula walipokuwa wanawashambulia walipiga miundombinu zaidi na majengo yao, vita hivi pia ni hivyohivyo
 
Kombora moja la iron dome no dola elf 50, hata ikija tokea yakitumika makombora haya elf 10 sawa na dola milioni 5 (Trilioni 1.x pesa ya dafu), Hii bado ni pesa ya karanga kwa Israel ukilinganisha na maisha ya wana israel.
Na hapo asisahau wanayaunda wenyewe kwenye makampuni yao ndani ya nchi. Na bado yanaundwa kila kukicha. Je Hamas wanafanya hivyo sahi, au ni kutumia tu? 😂
 
Kiukweli leo nilikuwa nafatilia mtifuano ama mapigano yanayoendelea kati ISEAEL NA PALESTINA hasa nikifatilia uwezo halisi wa hii defence system ya Israel.

Nimeshangaa baada ya kujua kwamba kumbe ile system ili itungue kombora moja lililotoka kwa Hamas inatakiwa kurusha makombora atleats kumi ndo inapata target na kulioua kombora moja la HAMAS.

Sasa kwa staili hii naona hili naona kabisa hii system sio effiency kabisa na inawagharimu mno Waisrael.

Kwa sababu kwa data zilizopo ni kwamba HAMAS wanatengeneza kombora lao moja kwa gharama ya Tsh ml 1.3 wakati Israel wanatengeneza kombora lao moja kwa gharama ya Tzsh ml 80.

Kwa gharama izo kombora moja la HAMAS lenye thamani ya tz sh 1.3 linaigharimu ISRAEL Tzsh ml 800 je kwa staili hii ni nani anapata hasara zaidi

Mi naona hii air defence system IRON DOME ya ISRAEL siyo effience na uwezo wake ni mdogo sana yaani kifupi vita hii inaigharimu zaidi israel kuliko Palestina.

Hii IRON DOME bado siyo system tegemezi na bora kwa maana siku isreal akipiga a vita na nchi nyingine yenye silaha za kisasa kabisa ama yenye rocket launcher system kubwa itashindwa kuzuia makombora ama izo missle zitakazorushwa maa haya makombora ya HAMAS yanayorushwa ni local madw sasa vil ka.a wakiwa na sophiscated rocket launcher means iron dome haiwezi kuzuia so mi Naona iron dome siyo system bora saana
Uliangalia wapi ndo ukaona hivyo? Ingia hata YouTube mkuu.
 
vita ya siku 6 wakat hamas wana week yapili sasa
kweli wajinga ndio waliwao mnatungiwa story munaziamini
hizo siku sita kwa nn asingezifanya akazitumia dhidi ya HAMAS na GHAZA yao
Hamas ni wanamgambo wanaojificha kwenye mahandaki. Vita vya siku sita ni baina ya nchi ambapo Military capabilities zao ndizo ziliharibiwa kwa wingi kufanya wao kutokuwa effective kwa Israel. Sasa hapo Palestina, hawezi fanya hivyo, Hamas hawana tanks, hawana Jets, hawana attacks ships nk ni migambo tu wale wanaofadhiliwa, hamna kitu chao cha muhimu ju chenye kuwafanya Israel kukishambulia na kutia hasara.
 
Hakuna Vita isiyo na gharama! Israel inawa cost gharama kwa sababu inatumia vifaa vilivyotengenezwa kwa Advanced Tech wakati Wapalestina vita vinawagharimu Vifo na uharibifu wa majengo na miundombinu.
Kuhusiana na Defence system hakuna Defensive System yo yote duniani ambayo ni 100% efficiently! Hata hii ya Russia S-400 ambayo ndiyo kwa sasa ni tishio ina mapungufu yake.
Kweli, kitu kikitumika ndipo hujulikana effectiveness yake. Hakuna chenye kiko 100%
 
Mkuu venye Jets hufanya ili kuepuka missiles kwa kutema flares ama chuff nyuma yake ili kukanganya kombora, same thing hiyo Iron Dome inafanya, inarusha kombora kibao zitakazo enda kujitafutia makombora ya Hamas huko juu. Mfano mzuri ni sperm vs ovary! 🤣 🤣 🤣
 
Ndani ya wiki 1 90% ya rocket zimekua intercepted View attachment 1790272
Hizi data si zinatolewa na vyombo vya magharibi ama taarifa zako zingekuwa na uhalali ikiwa ingekuwa imetolewa na pande zote mbili yaani HAMAS na ISRAEL lakini hii ya kutolewa tu na ISRAEL alafu ndo uniambie mimi niziamini apana asee labda uwawekee wengine
 
Back
Top Bottom