Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 9,000
- 7,618
Habari hii najua haitawafurahisha Waarabu-koko wa BONYOKWA lakini ujweli ndiyo huu-
Kulingana na ripoti ya Axios, Israeli ilituma kikosi kamili cha Iron Dome pamoja na vifaa vyake na wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Israeli kwenda Umoja wa Falme za Kiarabu kwenda kuilinda nchi hiyo dhidi ya nashambulizi ya kigaidi ya iran, , kufuatia uratibu wa moja kwa moja kati ya Benjamin Netanyahu na Mohammed bin Zayed Al Nahyan.
Ripoti hiyo inasema mfumo huo ulizuia makombora mengi ya Iran huku UAE ikikabiliana na mamia ya makombora na maelfu ya ndege zisizo na rubani. Hii ni mara ya kwanza Israeli kutuma Iron Dome na vikosi vyake katika ardhi ya kigeni wakati wa mapigano na Iran.
Kulingana na ripoti ya Axios, Israeli ilituma kikosi kamili cha Iron Dome pamoja na vifaa vyake na wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Israeli kwenda Umoja wa Falme za Kiarabu kwenda kuilinda nchi hiyo dhidi ya nashambulizi ya kigaidi ya iran, , kufuatia uratibu wa moja kwa moja kati ya Benjamin Netanyahu na Mohammed bin Zayed Al Nahyan.
Ripoti hiyo inasema mfumo huo ulizuia makombora mengi ya Iran huku UAE ikikabiliana na mamia ya makombora na maelfu ya ndege zisizo na rubani. Hii ni mara ya kwanza Israeli kutuma Iron Dome na vikosi vyake katika ardhi ya kigeni wakati wa mapigano na Iran.