WAKATI TIMU YA Mbeya CITY AIJAPANDA DARAJA NA KUCHEZA LIGI KUU HAWA JAMAA HAWAKUWA NA VITAMBI KAMA SASAS INAONEKANA MAPATO YA MLANGONI NA UUZAJI WA JEZI ZAO ZIMEWANUFAISHA SAFI SANA MAJEMEDARI ZITUMIENI FURSA VIZURI KABLA AZIJAWA SHUBILI.
Sijajua hao mbeya city wamejipangaje mwakani, coz wachezaji wengi wa timu za mikoani huwa wanajituma ili wapate fursa za kuchezea Simba na Yanga. Sasa mwakani wachezaji wao mahili wakihama cjui wamejipangaje na hilo kwani kwenye maisha "dreams kwanza kisha ushabiki/uzalendo baadae"
...Naona Mbunge wa Jimbo la Mbeya anashangilia,go Mama...
...Kama timu zote za soka zingekuwa zinapata support toka kwa wananchi wa maeneo yao kama ilivyo kwa Wananchi wa Mbeya na Mbeya City yao basi soka ya Tanzania ingekuwa mbali sana...
...Lakini bado najiuliza,mbona Prison ya Mbeya haipendwi na wananchi haohao??je wananchi hawa hawaliona jeshi la Magereza kama ni sehemu yao??...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.