Mashabiki wa MBEYA CITY FC

Mashabiki wa MBEYA CITY FC

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
1395800_526719557420287_39727560_n.jpg
 
Teh,teh inaonyesha wakula kabisa tayari kwa kushangilia. Duu hayo matumbo!!
 
WAKATI TIMU YA Mbeya CITY AIJAPANDA DARAJA NA KUCHEZA LIGI KUU HAWA JAMAA HAWAKUWA NA VITAMBI KAMA SASAS INAONEKANA MAPATO YA MLANGONI NA UUZAJI WA JEZI ZAO ZIMEWANUFAISHA SAFI SANA MAJEMEDARI ZITUMIENI FURSA VIZURI KABLA AZIJAWA SHUBILI.
 
Sijajua hao mbeya city wamejipangaje mwakani, coz wachezaji wengi wa timu za mikoani huwa wanajituma ili wapate fursa za kuchezea Simba na Yanga. Sasa mwakani wachezaji wao mahili wakihama cjui wamejipangaje na hilo kwani kwenye maisha "dreams kwanza kisha ushabiki/uzalendo baadae"
 

...Naona Mbunge wa Jimbo la Mbeya anashangilia,go Mama...

...Kama timu zote za soka zingekuwa zinapata support toka kwa wananchi wa maeneo yao kama ilivyo kwa Wananchi wa Mbeya na Mbeya City yao basi soka ya Tanzania ingekuwa mbali sana...

...Lakini bado najiuliza,mbona Prison ya Mbeya haipendwi na wananchi haohao??je wananchi hawa hawaliona jeshi la Magereza kama ni sehemu yao??...
 
Kwa wale akina
Mwa,mwa mwa wanajua hii itakua ni mabumunda na matakapela.
 
Back
Top Bottom