Mashabiki wa MBEYA CITY FC

Mashabiki wa MBEYA CITY FC

534998_610958832283100_1799110358_n.jpg
 
...Naona Mbunge wa Jimbo la Mbeya anashangilia,go Mama...

...Kama timu zote za soka zingekuwa zinapata support toka kwa wananchi wa maeneo yao kama ilivyo kwa Wananchi wa Mbeya na Mbeya City yao basi soka ya Tanzania ingekuwa mbali sana...

...Lakini bado najiuliza,mbona Prison ya Mbeya haipendwi na wananchi haohao??je wananchi hawa hawaliona jeshi la Magereza kama ni sehemu yao??...
Uko sahihi ndugu.
Prison FC haikuwa wakilisho stahiki la wananchi wa Mbeya, kwa kuwa ni timu ya jeshi la magereza. Sasa wamepata mbadala wa Tukuyu Stars, acha wajimwage na kuifia. Pia, tusisahau kwamba fitna za Yanga na Simba zanaua sana soka letu.
 
Ni muhimu na wao wakaanza kufanya mazoezi kwa afya zao maana hayo matumbo yao ni makubwa sana
 
Uko sahihi ndugu.
Prison FC haikuwa wakilisho stahiki la wananchi wa Mbeya, kwa kuwa ni timu ya jeshi la magereza. Sasa wamepata mbadala wa Tukuyu Stars, acha wajimwage na kuifia. Pia, tusisahau kwamba fitna za Yanga na Simba zanaua sana soka letu.

Mbona mbeya city ni timu ya halmashauri ya mji wa mbeya?
 
Prisons wapuuzi kweli. Viongozi wao walitoa kauli za kuwabeza Wanambeya wakasahau kuwa watu wa Mbeya hawapendi kabisa kudharauliwa. Nasi tumeipa kisogo. Timu yetu ni Mbeya City
 
mfano mzuri ni timu za jkt hazina mashabiki hii inaonyesha askari na raia ni vitu viwili tofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom