Mashabiki wa MBEYA CITY FC

Mashabiki wa MBEYA CITY FC

1375074_1420172518210906_1822583006_n.jpg
 
...Naona Mbunge wa Jimbo la Mbeya anashangilia,go Mama...

...Kama timu zote za soka zingekuwa zinapata support toka kwa wananchi wa maeneo yao kama ilivyo kwa Wananchi wa Mbeya na Mbeya City yao basi soka ya Tanzania ingekuwa mbali sana...

...Lakini bado najiuliza,mbona Prison ya Mbeya haipendwi na wananchi haohao??je wananchi hawa hawaliona jeshi la Magereza kama ni sehemu yao??...

Kuna mwaka waliihamisha wakaipeleka Tanga,mashabiki walipolalamika kamishna akasema hii ni timu ya jela hivyo wanaweza ipeleka popote tanzania!mwaka wa pili wakaipeleka morogoro tena na majibu yakawa hayo hayo machafu ya yule kamishna wao!

wawatoe wafungwa Ruanda pale wawe wanaenda kuwashangilia................ pambafffu!
 
...Naona Mbunge wa Jimbo la Mbeya anashangilia,go Mama...

...Kama timu zote za soka zingekuwa zinapata support toka kwa wananchi wa maeneo yao kama ilivyo kwa Wananchi wa Mbeya na Mbeya City yao basi soka ya Tanzania ingekuwa mbali sana...

...Lakini bado najiuliza,mbona Prison ya Mbeya haipendwi na wananchi haohao??je wananchi hawa hawaliona jeshi la Magereza kama ni sehemu yao??...


Bila shaka kauli ya Pinda ya " WAPIGWE" ina wagharimu maafande wa prison
 
Kuna mwaka waliihamisha wakaipeleka Tanga,mashabiki walipolalamika kamishna akasema hii ni timu ya jela hivyo wanaweza ipeleka popote tanzania!mwaka wa pili wakaipeleka morogoro tena na majibu yakawa hayo hayo machafu ya yule kamishna wao!

wawatoe wafungwa Ruanda pale wawe wanaenda kuwashangilia................ pambafffu!

...Sasa naweza nikaelewa hii, aksante sana...
 
Kuna mwaka waliihamisha wakaipeleka Tanga,mashabiki walipolalamika kamishna akasema hii ni timu ya jela hivyo wanaweza ipeleka popote tanzania!mwaka wa pili wakaipeleka morogoro tena na majibu yakawa hayo hayo machafu ya yule kamishna wao!

wawatoe wafungwa Ruanda pale wawe wanaenda kuwashangilia................ pambafffu!
Nakumbuka alisema Prison ni timu ya jeshi la magereza, sio timu ya raia. Tangu aliposema hivyo, wana Mby wakaipa kisogo, leo wamepata timu yao wenyewe MBEYA CITY FC
 
...Naona Mbunge wa Jimbo la Mbeya anashangilia,go Mama...

...Kama timu zote za soka zingekuwa zinapata support toka kwa wananchi wa maeneo yao kama ilivyo kwa Wananchi wa Mbeya na Mbeya City yao basi soka ya Tanzania ingekuwa mbali sana...

...Lakini bado najiuliza,mbona Prison ya Mbeya haipendwi na wananchi haohao??je wananchi hawa hawaliona jeshi la Magereza kama ni sehemu yao??...

Prisons waliharibu wenyewe baada ya kuamua kuwa tawi la Yanga.Kilichotokea ni kwamba hawakuweza kuwa na maendeleo kisoka.Na ndio maana wananchi wakaamua kuja na single ya Mbeya City.Si unaona vijana wanavyo chachafya haijalishi Yanga au Simba?Prisons itaishia kuwa kama Toatal africa,baada ya kuitumikia Yanga ,ikaishia kushuka daraja.Sema kwa fitna ya mpira wetu,hawa vijana wasipopewa counselling ya kutosha,next year wataishia kununuliwa wote na timu kusambaratika.Sivipendi sana vilabu vya Simba na Yanga,vinaua sana vipaji na mpira wa hapa nyumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom