Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Ni kweli nilizungumza naye kwa simu lakini si kwa ugomvi wala kumtishia. Nilimweleza kuhusu sera za kampuni yao kutoruhusu watumishi wake kujihusisha na siasa na kama anazifahamu. Pia nilimwambia kuhusu udanganyifu katika fomu zake na kwamba nilikuwa natarajia kumwekea pingamizi na nitamshinda hivyo bora angeachia ngazi.
Nilimshauri pia kama ndugu yangu maana siasa si ugomvi, kuwa ukiacha kuchukua fomu nitakuombea usifukuzwe kazi kulingana na sera za chombo chako kwani kitendo cha kujiingiza katika siasa atafukuzwa kazi. Na kweli niliweka pingamizi sasa huko ni kumtishia maisha?
Sijamtuma ofisa yoyote kwenda kwake na hili la uraia nimelipata kutoka kwa wapambe wake. Mimi ni mwanasheria siwezi kufanya hivyo,
91B Any person who corruptly induces or procures another
person to withdraw from being a candidate -to an election in
consideration of payment or promise of payment and any
person who withdraws in pursuance of such inducement or
procurement is guilty of corrupt practice and shall be liable
on conviction to imprisonment for a term not exceeding five
years''.
91B Any person who corruptly induces or procures another
person to withdraw from being a candidate -to an election in
consideration of payment or promise of payment and any
person who withdraws in pursuance of such inducement or
procurement is guilty of corrupt practice and shall be liable
on conviction to imprisonment for a term not exceeding five
years''.
Bongo bana kumbe sheria ipo, unajua wagombea wengi in the flagship of the so called "kupita bila kupingwa" hii sheria inaweza kuwabana kama kweli vyombo kama TAKUKURU vingekuwa huru na serikali kuwa na nia ya kweli ya kudhibiti upuuzi huu.
Je, atanusurika? Je Chadema iendelee kweli na mpango huo au wamuache tu aendelee kwani "yamepita tugange yajayo"?
<br />Hivi hakuna lawyers ambao wangefanya pro bono kwa Chadema kama huko Mwanza n.k?
Bongo bana kumbe sheria ipo, unajua wagombea wengi in the flagship of the so called "kupita bila kupingwa" hii sheria inaweza kuwabana kama kweli vyombo kama TAKUKURU vingekuwa huru na serikali kuwa na nia ya kweli ya kudhibiti upuuzi huu.
Hivi hakuna lawyers ambao wangefanya pro bono kwa Chadema kama huko Mwanza n.k?
<br />
<br />
Mzee Mwanakijiji, kuwa lawyer bongo siku hizi ni deal kubwa, Zamani ma lawyers walikuwa ordinary people miongoni mwetu, siku hizi ni kwenye ma vogue meusi na vioo vyeusi kisa ni high fees zao ni pesa mbele, hao wakufanya pro bono watoke wapi?. Bongo sasa ni pesa mbele. Sucessiful advocates wa sasa sio tena wale mabingwa wa ku argue kwa vifungu vya sheria wa enzi za kina Murtaza Lakha, sasa ni wale ambao they use money o work for them, kina Nimrod Mkono type, no points of law but good connections.
Chadema ina wanasheria kibao tuu ila kufanya pro borno ni issue nyingine, wao wakale wapi?.
Ila kweli mwanasheria anayejiamini anaweza kufanya hivi na akajikuta anajipatia jina katika historia yetu..
kesi ilikufa?
Punda akikufia njiani kabla ya kufika safari hachapwi viboko, unamwacha wewe unaendelea na safari yako
Sheria lazima zifuatwe. Siyo haya ya Tendwa ya kubadilisha kanuni za kampeni baada ya mgombea wa CCM kukampeni hata baada ya saa za kampeni kumalizika.