Masasi signs ni mradi wa nani?

Mimili ni BWM kwa mgongo kificho wa Ms. Sarah Salehe Masasi

11gkaw7.jpg
 
tatizo tunapoingia kwenye soko huria, maana yake serikali inatakiwa kusimamia viwango vya bidhaa/huduma kwa wateja na sio kusimamia ukiritimba kama huo wa masasi. Tunge kuwa na ajira karibu kila mkoa hata wilayani.

Hili ndilo tatizo la serikali yetu haiwezi kusimamia hivyo wana outsource hata power na authority yao. Ukweli ushindani ni jambo jema kwa mlaji kwani gharam hupungua. Kinachotakiwa ni TBS kutoa kiwango kinachotakiwa kwa namba za magari zinazohakikisha usalama. Baada ya hapo ni swala la wajasiriamali kuhakikisha wabnatengeneza vibao vya kiwango. Swala la Masasi na tender ya TRA kuna sababu ya kuangalia kama lazima wote tununue vibao toka kwa kampuni moja. Wao wampe mtu namba zake za usajili kwa karatasi kama zamani.
 
I dont see anything wrong with MS...nadhani swala ni upatikanaji wa huduma ambayo mtu unailipia...Kama inatoka kwa muda tarajiwa na kwa haraka sioni ni tatizo...MS wanapiga kazi nzuri sana na si wasumbufu wala hawana ukiritimba hata kidogo..Ila hii nimeisema kwa huduma waliyonipa na si kwamba nilikua namjua mtu pale. Sio kama Bank pesa ni zako na kupata ATM Card unasubiri miezi miwili.........
 
Hata mimi kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza sana hili swali. Kwa nini Masasi Signs imekuwa na monopoly ya biashara hii Tanzania nzima kwa muda mrefu namna hii? Nadhani ni muda muafaka wa ku-challenge ukiritimba wa hii kampuni kupitia mahakama.
 
Kampuni hii ambayo inatajwa kuwa inamilikiwa na mwanamama, kwa nini ipewe nafasi ya ukiritimba kwenye sekta ya kutengeneza nambari ya magari?
Kipindi hiki cha soko huria, kwanini wawekezeji wasikubaliwe kushindana na masasi sign ili mwananchi anufaike na ushindani wa kibiashara na pia awe na uwanja mpana wa kumchagua mtengeneza kibao amtakaye?
Je masasi sign ni mradi wa kibopa gani?

Mimi siwezi kusema Nimradi wakigogo la asha Hila hii kampuni imeanza nimiaka takribani 5-6 ninachojua ilishindanishwa nakampuni zingine naikashinda tender iliyoendeshwa na TRA Kwakweli imefanya kazi nzuri japo watu wanalaum kumbuka Plate no za kipindi hicho zilivyokuwa mbaya mimi sikuzitaraji kama tunawezakuwa na nomba nzurikama za masasi ni intenational level,nafikiri tumekujuza Kaka kiranja Mkuu!Swali lako nikama Ilivyo Mabibo wine nikampuni pekee ile iliyo halalishwa na kulete heineken beer tanzania na TRA ndo wanajua hadi mahakama ya biashara!!Niushindani katika soko huria!
 
kama hakuna ushindani tutajuaje gharama stahiki ya kulipia plates?Serikali ilijiondoa kwenye biashara tunaomba na tra ijiondoe kwenye kuwalazimisha watu kulipia MASASI.Hizi ndo njia mojawapo za kuzalisha ajira milioni moja za kikwete,yaani tu-create opportunity.
 
Tenda haikutangazwa, ndio maana ile kampuni ya wa wahindi, Impressins ilikwenda mahakamani , lakini kwa sababu zinazojulokana ikafuts kesi mahakamni
 
Kwanini masasi wamepewa nguvu ya ku monopolize soko?
Jamani, hawa ni wazawa na kwamba hiyo monpoly ili kuwa mwanzo kwa ajili ya hizo namba mpya za magari, sasa hivi wako wengine (TBS approved) wanaotoa vibati hivyo vya namba za magari. TRA waliyatangaza kwa uwazi makampuni hayo mengine.
 
Mimili ni BWM kwa mgongo kificho wa Ms. Sarah Salehe Masasi

11gkaw7.jpg

Hivi Mkuu unamfahamu Sarah kweli wewe....! au umeamua kuweka sura yako hapo?

MS walianza shughuli zao kidogo kidogo pale mtaa wa Simu na Jamhuri karibu na Bills miaka ya mwanzo ya tisini. Saraha Masasi ni mwanamama mjasiriamali shoka ambaye yeye mwenyewe alikuwa anafanya hiyo kazi ya kudesign, kukata vibati na kuzifunga akishirikiana na wafanyakazi wake wachache.

kipindi hicho kulikuwa na kampuni nyingi mtaani ambazo zilikuwa zinafanya hiyo kazi lakini watu tulikuwa tunakwenda MS kutokana na ile design yao mpya ya kuleta namba plate zenye migongo badala ya kuchora pekee..:tongue1:

Suala la tenda ya TRA lilikuja baadaye wakati tayari MS imeshakuwa na uzoefu wa kutosha na ubora wa bidhaa zake unakubalika na kila mtu. Wahindi walishindwa kihalali!!!

Huyo anaedhani BWM anahusika tafadhali aweke ushahidi jamvini...
 
Hapana, siyo mwenyeji wa Masasi, Jina lao ni Masasi. Ni dada wawili Lulu na Sara Masasi, wenyeji wa Iringa.

Sio hao wadada...wanatumika tu...mwenyeji wa masasi ni mnene,mfupi,ana kipara,miwani na aliwahi kuvunjwa mguu namkewe anayetoka mlima barafu
 
lulu alileta machine toka germany,baada ya aliyekuwa gavana wa benki B kumwambia mkubwa wake lulu yaani sarah achangamkie deal hiyo,wakati huo mdogo wa gavana N--U alikuwa anatoka na sarah.source ya hii information ni upande wa mke wa marehemu gavana B
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Masasi Signs wamekuwa wakifanya kazi nzuri sana katika kutengeneza vibao vya namba za magari hata kabla ya kupewa hiyo tenda na TRA!!!

Tuwe na wivu wa kimaendeleo na siyo kukimbilia kusema eti ni kampuni ya BWM....!!! Halafu hayo mambo ya kutoaka na Gavana sijui nini ndivyo biashara zinavyokwenda humu duniani! Kuna wanawake wangapi wanatoka na wakubwa serikalini na wanaambulia kununulia RAV 4?
 
"Msiwe na wivu wa kijinga" ni mwenyeji wa masasi.

Miezi uliyokwisha kaa ndani ya JF siyo mingi lakini inatosha kukupa uzoefu wa jinsi ya ku-handle yale usiyoyataka. Lugha kama hii inakupa maksi ndogo ktk uchangiaji maana pamoja na kusema hovyo kiasi hicho, tazama umeaandika makosa.

Huyu siyo mwenyeji wa masasi! Ni Iringa na ni familia ambayo imekuwa ktk biashara kwa muda murefu, tangu enzi zile za Kwacha Transport.

Taarifa ya ziada niliyoipata ni kwamba Mama Mkapa naye ameshajiingiza ndani ya Masasi signs. Isije ikawa ndo sababu ya monopoly inayozungumziwa hapa.

Plate zao ni nzuri lakini tatizo langu ni kulazimishwa kununua kwao kwa bei waliyopanga na TRA wakati tunafahamu kwamba Plate za magari siyo kazi ya TRA. TRA hutoa namba na siyo plate. Kama wewe unazipenda au hapana, kilichotakiwa ni kuwaruhusu wote walioidhinishwa na TBS waingie sokoni nakila mtu achague.

Sasa eti tunazungumzia tenda, tenda ipi na ni nani aliitoa wakati hizo plate siyo kazi ya TRA. Matokeo yake sasa hivi Masasi na TRA wanapanga bei waitakayo. Ukiuliza unaambiwa 'material' imepanda bei wakati aluminium imepungua bei duaniani!
 
Back
Top Bottom