Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,273
HahahaFull version
HahahaFull version
Hawa wa hivi Mara nyingi wanapatikana kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
Sokomatola eeeeh?Safari yetu Mbeya tulistarehee sanaaa, wakazi wotee Mbeya walitushangiliaa, Sikukuu ya wakulima sabasabaaa,.....
Unaikumbuka Sombreroo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Duu ila kuna baadhi wakanizushia kifo[emoji134] [emoji15] [emoji24] [emoji3] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]hahahhha, ndio maana watu tulidata ulivyoadimika ghafla JF tehe tehe
mshana jr kweli umerudi tulimiss masantula kama haya ha ha ha ha
Nasikia ulikuwa ku report chuo pale S.Asunola nipo nimerejea juzi usiku nimetua salama kwa chombo binafsi nilikuwa kwenye vikao vya mwaka [emoji23] [emoji15]
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mlibhakonyofu umwe
Mungu alishakuona
Kweli aisee umepewa dhamana!
Acha kabisa! Nakumbuka mabunda ya kienyeji pale Soko Matola.Sokomatola eeeeh?