Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,273
HahahaFull version
HahahaFull version
Hawa wa hivi Mara nyingi wanapatikana kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
Sokomatola eeeeh?Safari yetu Mbeya tulistarehee sanaaa, wakazi wotee Mbeya walitushangiliaa, Sikukuu ya wakulima sabasabaaa,.....
Unaikumbuka Sombreroo?
mshana jr kweli umerudi tulimiss masantula kama haya ha ha ha ha
Nasikia ulikuwa ku report chuo pale S.A
Mungu alishakuona
Kweli aisee umepewa dhamana!
Acha kabisa! Nakumbuka mabunda ya kienyeji pale Soko Matola.Sokomatola eeeeh?