Hawa wa hivi Mara nyingi wanapatikana kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
Mkuu upon ndugu yangu ulitupotea gafla Mzee mwenzetu. Afadhali umerudi.Full version
Bora nilikuta uzi mmoja unafutwa balaa kuna watu wamezika Zenji mara wanamuona jamaa mtaani kiaina kufukua kaburi wakakuta magogo ulitafutwa sana utoe msaada.Full version
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji83] [emoji83] aisee mkuu itabidi nikuone Maana huku hali ni tete, kama sio kuapdate mambo basi kuna virus kabisa hakueleweki hatasunola nipo nimerejea juzi usiku nimetua salama kwa chombo binafsi nilikuwa kwenye vikao vya mwaka [emoji23] [emoji15]
Kusema kweli mbeya hatuwezi kusahauSafari yetu Mbeya tulistarehee sanaaa, wakazi wotee Mbeya walitushangiliaa, Sikukuu ya wakulima sabasabaaa,.....
Unaikumbuka Sombreroo?