mimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
Acha uongo. Ben Saanae aliweka ushahidi humu humu na hatua zikachukuliwa. Hapa tunachekecha, ushahidi wa uongo utajulikana tu, wewe weka tu hapa.
mimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
kwanini mkikosolewa mnakimbilia kusema mtu analipwa??? hii inaonyesha nyie ndo mnalipwa mnadhani kila mtu anashikiwa akili yake kama nyie
hakuna kitu kama hicho