mimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
mimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
mkiamua kufanya masihara pouwa lakini kimsingi Millya Bananga na hao wengine niliyo wataja ni wanachama wa Chadema na ni vijana kwa maana hiyo ni wanachama wa Bavicha
As long as tunatumia nick name hapa Jf,tafadhari kamauna hakika na ukisemacho weka hapa kwa uwazi sio kuleta blah blah nyingi,weka hapa hapa huo ushahidi vinginevyo wewe ni MKUDAmimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
Ninyi watu wa Simanjiro mna chuki sana na Millya baada ya kusikia anataka kumng'oa Sendeka
Mods ondoeni thread za kipuuzi kama hizi
kama kawaida yangu naleta taarifa zenye uhakika, japo makamanda wa chadema huwa wanapenda kunibeza, japo sijali kwani nafanya hivi kwa mustakabali wa Taifa kwa ujumla.
Juzi na jana kumekuwepo na Taarifa ya BAVICHA kuwatimuwa wanachama wake kwa madai ya usaliti kwa kufanya kazi zao kwa maslahi yaccm ukweli ni kwamba kuna makamanda ambao bado hajajulikana ambao ndio chanzo cha tatizo mimi nitawaambia alafu nyinyi mtaona kama mtaendelea kunibeza au mtachunguza.
yafuatayo ni majina ya vijana walio ndani ya Bavicha ambao ndo wamekuwa wakiwaunganisha viongozi wa Bavicha na ccm.
1James Millya
2.Ally Bananga
3.Frank Oleleshwa
4.Gideon Sanago
hawa vijana ambao wamekuwa wakijipambanua kuwa wamejitoa kuhakikisha mwaka 2015 Chadema watachukua nchi ndo walikuwa wamewaunganisha viongozi wa bavicha na viongozi wa ccm. nina ushahidi wa kutosha atakaye uhitaji ushaidi wangu nitumie e mail kwenye olekishon@yahoo.com nitakueleza jinsi ya kuupata.
Ninyi watu wa Simanjiro mna chuki sana na Millya baada ya kusikia anataka kumng'oa Sendeka
kufanya kisomi ndo kufanya kisiri siri? kama wewe si mchonganishi; basi weka ushahidi wazi watu watakuelewa.mimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
hivi Olesendeka anakulipa sh.ngapi kwa kila thread??
mpe taarifa boss wako Olesendeka kuwa 2015 ataambulia strock au pressure ya macho kama ya Lowassa.
kama kawaida yangu naleta taarifa zenye uhakika, japo makamanda wa chadema huwa wanapenda kunibeza, japo sijali kwani nafanya hivi kwa mustakabali wa Taifa kwa ujumla.
Juzi na jana kumekuwepo na Taarifa ya BAVICHA kuwatimuwa wanachama wake kwa madai ya usaliti kwa kufanya kazi zao kwa maslahi yaccm ukweli ni kwamba kuna makamanda ambao bado hajajulikana ambao ndio chanzo cha tatizo mimi nitawaambia alafu nyinyi mtaona kama mtaendelea kunibeza au mtachunguza.
yafuatayo ni majina ya vijana walio ndani ya Bavicha ambao ndo wamekuwa wakiwaunganisha viongozi wa Bavicha na ccm.
1James Millya
2.Ally Bananga
3.Frank Oleleshwa
4.Gideon Sanago
hawa vijana ambao wamekuwa wakijipambanua kuwa wamejitoa kuhakikisha mwaka 2015 Chadema watachukua nchi ndo walikuwa wamewaunganisha viongozi wa bavicha na viongozi wa ccm. nina ushahidi wa kutosha atakaye uhitaji ushaidi wangu nitumie e mail kwenye olekishon@yahoo.com nitakueleza jinsi ya kuupata.
Mkuu wangu SEBM hili ni Salia linaweweseka tu.Chadema haichukui maamuzi kwa Porojo za vijiweni.
kama wanachuki naye maana yake ni kwamba hakubaliki