mimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
Acha uongo. Ben Saanae aliweka ushahidi humu humu na hatua zikachukuliwa. Hapa tunachekecha, ushahidi wa uongo utajulikana tu, wewe weka tu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi siwezi kuweka ushaidi huku kuna masihara mengi huku nataka nifanye mambo kisomi
kwanini mkikosolewa mnakimbilia kusema mtu analipwa??? hii inaonyesha nyie ndo mnalipwa mnadhani kila mtu anashikiwa akili yake kama nyie
hakuna kitu kama hicho