Yaliyoandikwa nahisi yana ukweli kwa sehemu kubwa sana....na mleta mada ni mmojawao....ila kama kama Kafulila aliitwa sisimizi basi hawa kwa pamoja wao waitwe nani sijui???ila hawana madhara hata kidogo kwa CDM boss wao mwenyewe hana madhara itakuwa wao!?