masai na dereva

masai na dereva

Mimi ni mmasai bwana...................
 
masai alikua anasafili na alikua kakaa sit ya mbele akawa anamuangalia deleva akibadilisha gia kila wakati ilipofika wakati wakwenda kula watu wote wakashuka ila yeye hakwenda kwasababu alikua nakibuyu chake cha maziwa, akaanza kuichokonoa ile gia hadi ikachomoka, dereva alipokuja masai akamwambia" hey rafiki ile kitu ulikua unahangaika kutoa tayali nishatoa"


Khaaaaaa!! Baba Yoyooo, ameua wasafiri.
 
masai alikua anasafili na alikua kakaa sit ya mbele akawa anamuangalia deleva akibadilisha gia kila wakati ilipofika wakati wakwenda kula watu wote wakashuka ila yeye hakwenda kwasababu alikua nakibuyu chake cha maziwa, akaanza kuichokonoa ile gia hadi ikachomoka, dereva alipokuja masai akamwambia" hey rafiki ile kitu ulikua unahangaika kutoa tayali nishatoa"
Teh teh teh teeeeeeeeeeeeeeeeeeheeeeeeeeeeeeeeeee!:lol:
 
Hii kitu niliisikiaga RFA kipindi cha cheka na vodacom with Fredwaaaa@ Fred Fidelis Bwaahahaha hahahaha
 
ha ha ha hiii comedy nimeisikia siku mingi lakini siichoki nikiisoma inanifurahisha.
 
masai alikua anasafili na alikua kakaa sit ya mbele akawa anamuangalia deleva akibadilisha gia kila wakati ilipofika wakati wakwenda kula watu wote wakashuka ila yeye hakwenda kwasababu alikua nakibuyu chake cha maziwa, akaanza kuichokonoa ile gia hadi ikachomoka, dereva alipokuja masai akamwambia" hey rafiki ile kitu ulikua unahangaika kutoa tayali nishatoa"

"r" na siyo "l"
 
Back
Top Bottom