PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wadau, napenda kuuliza swali baada ya maelezo yafuatayo!
Mtoto anaanza uhai toka siku ya kwanza anatungwa mimba, hili bila shaka halina ubishi.
Anakua hadi umri wa miezi 9(with more or less) na kuzaliwa.
Kwanini akizaliwa tunafuta umri wake alioishi tumboni akiwa hai, na kuanza kuhesabu siku 1 nakuendelea?
Kwanini tusingeendeleza ile miezi tisa ili tuwe na umri sahihi wa mtu?
Unajua kwamba mtu yeyote anakuwa na umri aujuao yeye, plus miezi 9ambayo haisemwi?
Kwanini inafanyika hivi?
Mtoto anaanza uhai toka siku ya kwanza anatungwa mimba, hili bila shaka halina ubishi.
Anakua hadi umri wa miezi 9(with more or less) na kuzaliwa.
Kwanini akizaliwa tunafuta umri wake alioishi tumboni akiwa hai, na kuanza kuhesabu siku 1 nakuendelea?
Kwanini tusingeendeleza ile miezi tisa ili tuwe na umri sahihi wa mtu?
Unajua kwamba mtu yeyote anakuwa na umri aujuao yeye, plus miezi 9ambayo haisemwi?
Kwanini inafanyika hivi?