PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
- Thread starter
- #21
Kutokana na sababu hiyo ya ujinga wa AKINA MAMA kutofahamu siku ya kukonceive, basi na tuhalalishe DOB iwe ndo UMRI WA MTU!(ooh..gosh!).........Lakini, kwa kuweka sawa mambo, kila mtu na ajue hilo, kwamba ana umri zaidi ya ule anaodai kuwa nao, tusijionee huruma bila sababu!...Tusikatae na hilo wakuu!