Masaburi awakonga wakazi wa Ubungo

Masaburi awakonga wakazi wa Ubungo

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Wakazi wa jimbo la Ubungo wamempongeza Dr Masabuli kutokana na uchapakazi wake uliotukuka, uzoefu katika shughuli za wananchi, kujituma pamoja na kuwa karibu na wananchi. Wakazi wa Ubungo wamesema mbunge wao kwa sasa ni Masabuli tu.
 
Labda ubungo ya kibaigwa sio ya dar nayojua mim masabur hana chake abaki na UDA zake tu
 
mimi niko ubungo sijawahi kumuona huyo adidas masabuni? wakazi gani walimshukuru? kwa lipi alilofanya?
 
....naye anatumia masaburi....!!!??? kweli ukoo mpana ....
 
Hivi lile tusi alilotukana hadharani alisemaga vipi tena? Watu wanafikiria kwa kutumia Masaburi.........
 
Ni Rahisi kwa Ngamia kupenya tundu la sindano lakini sio Masaburi kushinda Ubunge Ubungo.Masaburi ana hali ngumu mno
 
Ama kweli huyo Masaburi anafikiria kwa kutumia masaburi...mm kwa miaka mingi ni mkazi wa Kimara, huyo Masaburi akifanya mkutano wannohudhuria ni wale waliovaa sare za CCM tu, that means ni wale waliopewa nguo na buku5 ili wahudhurie Mkutano
 
Back
Top Bottom