Mkuu si ameandika pale juuNi simu gani?
Sijajua upo wapi mkuu ila baridi sana ndio inaathiri battery, tafuta cover ama pochi ambalo litazuia huo ubaridi.Wadau nina Samsung galax A50
Hii simu bana nikienda sehemu ya baridi ina ji freeze kabisa yaani ina ji restart kila wakati yaani kifupi haitaki baridi kabisa msaada wadau nifanyeje?.
Sawa mkuu nitabadili betriSijajua upo wapi mkuu ila baridi sana ndio inaathiri battery, tafuta cover ama pochi ambalo litazuia huo ubaridi.
Kama simu nyengine zinafanya kazi vizuri ulipo badili battery lako.