- Thread starter
- #61
hamna nimempa ukweli yule mdadaHii nimecheka .....Una roho mbaya sana Marytina
hamna nimempa ukweli yule mdadaHii nimecheka .....Una roho mbaya sana Marytina
kama unatumia kijiti, basi ni cha malawi tena unachanganya na m@vi ya panya
aisee...:rant:
@arusha,baba mngoni,mama mchagga.
Ipo siku ntakufa ila kwa sasa nataka kujua JF itareact kivipi pindi mkiconfirm am dead.( reactions to PRE-DEATH)
Please note:nipo hai, buheri wa afya, sina panics za love as nilimchagua sub-standard,mwana kwaya, mlutheran, rafiki wa karibu wa mchungaji wetu,nakatiza chochoro kwa chochoro hapa AR bila bughudha.
sina panics za love as nilimchagua sub-standard,mwana kwaya, mlutheran, rafiki wa karibu wa mchungaji
unaona umepaaata wachungaji wenyewe feki sembuse rafiki wa mchungaji?
Kaka Jambazi yuko wapi jama? Amtangulize huyu mbele ya haki.
This thought of yours is basing on what theory Marytina?DEAR!!!
ukitaka usiumizwe kwenye mapenzi go for sub-standard i.e wewe shule ya kuungaunga unamchukua lecturer handsome tena kwao kuna hela za urithi unategemea nini???
mtaachika mpaka mkomee
@arusha,baba mngoni,mama mchagga.
Ipo siku ntakufa ila kwa sasa nataka kujua JF itareact kivipi pindi mkiconfirm am dead.( reactions to PRE-DEATH)
Please note:nipo hai, buheri wa afya, sina panics za love as nilimchagua sub-standard,mwana kwaya, mlutheran, rafiki wa karibu wa mchungaji wetu,nakatiza chochoro kwa chochoro hapa AR bila bughudha.
helo marytina!Hujambo? Si vizuri kuandika mambo ya kifo ilhali Bwana kakujalia uhai kama usemavyo.@arusha,baba mngoni,mama mchagga.
Ipo siku ntakufa ila kwa sasa nataka kujua JF itareact kivipi pindi mkiconfirm am dead.( reactions to PRE-DEATH)
Please note:nipo hai, buheri wa afya, sina panics za love as nilimchagua sub-standard,mwana kwaya, mlutheran, rafiki wa karibu wa mchungaji wetu,nakatiza chochoro kwa chochoro hapa AR bila bughudha.