ndo mnavodanganyana hapo matejoo sio? hutaki kifaru kina papa king?usichukue wa daraja la kwanza sub category A,CHUKUA WA DARAJA LA KWANZA SUB CATEGORY B
@arusha,baba mngoni,mama mchagga.
Ipo siku ntakufa ila kwa sasa nataka kujua JF itareact kivipi pindi mkiconfirm am dead.( reactions to PRE-DEATH)
Please note:nipo hai, buheri wa afya, sina panics za love as nilimchagua sub-standard,mwana kwaya, mlutheran, rafiki wa karibu wa mchungaji wetu,nakatiza chochoro kwa chochoro hapa AR bila bughudha.
Jitahidi ufe baada ya kufanikisha lile dili...watoto walo hatapata shida kabisa!!nionee hata chembe ya huruma bifu ya nini wakati ntakuwa RIP
@arusha,baba mngoni,mama mchagga.
Ipo siku ntakufa ila kwa sasa nataka kujua JF itareact kivipi pindi mkiconfirm am dead.( reactions to PRE-DEATH)
Please note:nipo hai, buheri wa afya, sina panics za love as nilimchagua sub-standard,mwana kwaya, mlutheran, rafiki wa karibu wa mchungaji wetu,nakatiza chochoro kwa chochoro hapa AR bila bughudha.
Mie nitasema "At last they are together........................ LEGS".
DEAR!!!
ukitaka usiumizwe kwenye mapenzi go for sub-standard i.e wewe shule ya kuungaunga unamchukua lecturer handsome tena kwao kuna hela za urithi unategemea nini???
mtaachika mpaka mkomee
una haraka sana na kifo wewe unrest in peace sasa hell is your destiny si eti eehnipe rip mkorea
sasa mbona hata kumi hawafiki?Ukishakufa utapata marafiki wengi zaidi.
Mi mzima, za dar?za wakaka wa huko?????Marytina dear mzima wewe?
sub-standard atakuona wewe ni super standard utamwendesha utakavyondo mnavodanganyana hapo matejoo sio? hutaki kifaru kina papa king?