Khaaaaaaaaaa mmefuta baadhi ya comment lol :A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down: futeni na hii tena hajui kupaka lipstick
Huyu ndio anayedaiwa kuwa chanzo cha kuvugika kwa taratibu za kuchagua meya huko Arusha.Wajumbe wa CDM hawakuafiki ushiriki wake kwa kuwa yeye ni mbunge kutoka Tanga.Pia ndiye aliyewaambia maaskofu wavue majoho... kuna threads hapa JF zenye detailed information kuhusu huyu dada.Unaweza kusearch prior posts kama hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nda-azua-tena-mvutano-ccm-chadema-arusha.html
Watu wengi walikuwa na hamu ya kuona picha yake kutokana na mkanganyiko mkubwa uliotokea kabla na baada ya sakata hilo lakini kwa kipindi hicho picha yake haikupatikana popote.