N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la mwananchi leo nimeona tangazo la OMR Muungano na mazingira kuhusu mwisho wa matumizi ya vifungashio vya Plastiki kama vibebeo.
Akili yangu ikajiuliza fasta fasta hivi ile mikate maarufu ya slesi ambayo tulikuwa tunabeba kupelekea ndugu zetu vijijini kama ishara kuwa umetoka Dasalamu itafungashwa kwenye vibebeo gani?
Akili yangu ikajiuliza fasta fasta hivi ile mikate maarufu ya slesi ambayo tulikuwa tunabeba kupelekea ndugu zetu vijijini kama ishara kuwa umetoka Dasalamu itafungashwa kwenye vibebeo gani?