Waziri Jafo: Ni marufuku kuzalisha karatasi za plastiki zinazobandikwa kwenye vizibo vya chupa ya maji na mirija ya kunywea vinywaji

mshale21

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
2,050
4,904
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selaman Jafo amesema marufuku kuzalisha karatasi za plastiki zinazobandikwa kwenye vizibo vya chupa ya maji na mirija ya kunywea vinywaji. Marufuku hiyo itaanza baada ya miezi sita Oktoba 11, 2021.

JAFO.jpg
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selaman Jafo amesema marufuku kuzalisha karatasi za plastiki zinazobandikwa kwenye vizibo vya chupa ya maji na mirija ya kunywea vinywaji. Marufuku hiyo itaanza baada ya miezi sita Oktoba 11, 2021.

#Mwananchi
Unamanisha seal paper?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Akipiga marufuku atoe mbadala serikali inataka wafanyenini qu watumie nini bafala yake....sio marufuku anaondoka aache upuuzi wake naona kama mtu wa ropo ropo .....na kick tu huyu boya
.....
Mbadala hawatoi kazi kupiga marufuku tu. Mambo ya ajabu haya
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selaman Jafo amesema marufuku kuzalisha karatasi za plastiki zinazobandikwa kwenye vizibo vya chupa ya maji na mirija ya kunywea vinywaji. Marufuku hiyo itaanza baada ya miezi sita Oktoba 11, 2021.

#Mwananchi
Watupe mbadala tuweke lebo za namna gan kwenye bidhaa zetu
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selaman Jafo amesema marufuku kuzalisha karatasi za plastiki zinazobandikwa kwenye vizibo vya chupa ya maji na mirija ya kunywea vinywaji. Marufuku hiyo itaanza baada ya miezi sita Oktoba 11, 2021.

#Mwananchi
Tatizo la viongozi wetu wanapiga marufuku bila kuja na jibu mbadala
 
Back
Top Bottom