spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GrEaTtHinkers,
Mkoani umeme wenyewe wa shida,kila kitu kiko ubungo
vijijini hata bodaboda 97% haziwezi kufika-hamna barabara nzuri
Mawilayani watu ni maskini, hakuna biashara kule mafisadi wamekeza Dsm
Mtoto wangu nikitaka asome shule yenye walimu wazuri sana ni mpaka dsm
Kule mikoani hata tuition hamna, mitihani yote inavuja hapa Dsm
Nani akae huko kubaya aendelee kuimba wimba wa kilimo ni uti wa mgongo ili afaidike nani?
Nasema vijana wanaojaa dsm wanazo sababu za msingi kuingia jijini,
Tena msiwakamate kabisa maana wazazi wao wanavaa kaniki, Dar hata mitumba bado ipo manzese.
Nani aliwatuma kila kitu kiwe dar, hata hospitali kuu ni Dar nani ake Longido?
kila kitu Dar, Hata FLYOVERS ni dar sasa mnataka tufe bila kupiga picha karibu na daraja zuri.
Eti nibaki Chunya wakati nataka kumuona Nsajigwa uwanja wa taifa, kule hata plan hamna
Nasema staki kuskia vujana wananyanyasika waacheni wamanchinga wakae Dar Es Salaam.:A S 114:
Mkoani umeme wenyewe wa shida,kila kitu kiko ubungo
vijijini hata bodaboda 97% haziwezi kufika-hamna barabara nzuri
Mawilayani watu ni maskini, hakuna biashara kule mafisadi wamekeza Dsm
Mtoto wangu nikitaka asome shule yenye walimu wazuri sana ni mpaka dsm
Kule mikoani hata tuition hamna, mitihani yote inavuja hapa Dsm
Nani akae huko kubaya aendelee kuimba wimba wa kilimo ni uti wa mgongo ili afaidike nani?
Nasema vijana wanaojaa dsm wanazo sababu za msingi kuingia jijini,
Tena msiwakamate kabisa maana wazazi wao wanavaa kaniki, Dar hata mitumba bado ipo manzese.
Nani aliwatuma kila kitu kiwe dar, hata hospitali kuu ni Dar nani ake Longido?
kila kitu Dar, Hata FLYOVERS ni dar sasa mnataka tufe bila kupiga picha karibu na daraja zuri.
Eti nibaki Chunya wakati nataka kumuona Nsajigwa uwanja wa taifa, kule hata plan hamna
Nasema staki kuskia vujana wananyanyasika waacheni wamanchinga wakae Dar Es Salaam.:A S 114: