Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,268
- 68,342
mzima kweli huyu?
Jamaa ni bwabwa kabisa.
Ipo siku alimtongoza mshkaji wangu walikuja Arusha kwenye event fulani akawa interested na jamaa yangu coz ni mtu wa mazoezi na ana msuli design!
Nilistaajab nilipoona ile convesation zake akim approach jamaa!
Hilo pozi sijalielewa.
kama kuna shida hivi. picha nyingi ambazo amesimama huwa anaweka pozi hilo
Ahaa kumbe ni kawaida yake...lakini mmhh
kwahiyo mlikuwa hamjui kuwa jamaa ni punga? mtoto mashallah!
huwa najiuliza ndo pozi au ana shida ma huo mguu
Au jamaa anaumwa na miguu
Jamaa ni bwabwa kabisa.
Ipo siku alimtongoza mshkaji wangu walikuja Arusha kwenye event fulani akawa interested na jamaa yangu coz ni mtu wa mazoezi na ana msuli design!
Nilistaajab nilipoona ile convesation zake akim approach jamaa!
Mndughu, uzaolela hiyo picha?