Anataka kutupiga changa yule ili tuingize matatizo ndani. Wengi wamemsanukia anatupiga kabobo..Ndoa ni ngumu usawa huu, ukiwaza ukata, usaliti, ubinafsi, kununiwa, kelele dah. Inahitaji moyo wa chumaIla kuongea tu kwa watu kuwa ndoa yangu nzuri au kuelezea uzuri wa ndoa haitoshi kuamini km ndoa yake ni salama, ninaye rafiki wa karibu sana in anatoaga semina za ndoa,,jinsi ya kuishi na Mume/ mke,, kusali pamoja mamb mengi,,na anamotivate hasa,,Sikh zote nasema huyu ndoa yake ni tamu sana,,,Siku moja ananiambia Mara nyingi wananuniana na mume,,wanatengana vyumba Mara kwa Mara,,,mambo kibao ila akiongea unaweza tamani
Hata Chris anaweza kuwa anaongea vile kwakua ni kazi yake,,,
nafikiri hujanielewaKwani wewe mama yako ameolewa? Na ana watoto?
Huyo ndo role model wenu ha ha haHahaha hapo kwa role model hututendei haki hehehe
brain is the beautiful part of the body.
Aah heaven, ina maana hata mkiwa wawili bado anakukazia tu? Kuna ME wana roho za spana...Mi ukiumwa nakusaidia kiroho safi. Its the only moment you can dog me the way you like.Mmmh nyie hata mbaki wawili ndani ya nyumba na mwenzio anaumwa, still utaambiwa "jikaze tu", ilhali mume ni mzima wa afya na yupo tu. Huko kumdekeza mwenzio si ndo mnaita ufilipino?
Haha mbona utapata tabu kumuuguza tena. Akiwa mzima tu ni kama mkoma, ndo aumie goti sasa weee. Akimbizwe tu na panya road na mapanga ila wasimdhuru [emoji13] [emoji13] [emoji13]Akienda namuombea agongwe goti na boda pumbaav 😀
Roho mbaya
Teh mbona ntaumwa kila sikuAah heaven, ina maana hata mkiwa wawili bado anakukazia tu? Kuna ME wana roho za spana...Mi ukiumwa nakusaidia kiroho safi. Its the only moment you can dog me the way you like.
Kidogo tu ila mostly stress ndio zinatufanya tusiwabebishe na uchovu wa shughuli. Ila naamini kama ukijitoa na kusema "baba J naomba nikusaidie kupunguza bills hizi na zile walau tuweze kupata time ya kuinjoy wote pamoja muda mwingi" sidhani kama kuna kidume atachomoa hapo!Kubebisha inahitaji masaa mangapi?
Mbona Michepuko tunaibebisha? Tujenge ndoa tuache bla bla
Hahahahah ndio hapo tu ukauzu naweka kando, ila ukiwa mzima ni sera za urusi tu! Siezi fanya majukumu yasiohusiana na kukubebisha bila sababu!Teh mbona ntaumwa kila siku
HeheHuyo ndo role model wenu ha ha ha
Aisee na wewe usigeneralize wanaume wote wabayaUmeshaweka akilini kuwa wanawake wote viburi. Hayo maperuvian kama huyapendi kwanini umchukue mwanamke wa hivyo? Duniani kuna wanawake wa aina mbali.mbali. nenda kwa yule unayeona anafaa. Mbona wapo !!! Usigeneralize vitu...watu hawafanani
MmhKweli kabisa, na hawa Wanaume ngozi nyeusi wasivopenda kuambiwa ukweli, role model wao ni yule "mimi sipangiwi"
Kazi Sna,hi Tabia Yawanawake Kununanuna Inanikera Sna Tna Sna Kila Jambo Kununa Tu,sometime Huwa Nafikia Ukomo Wakufikiri Wakusema Hakuna Maana Yakuoa Nibora Kuwapeke Yako,kuliko Mauzi Ya WanawakeMke akinuna unafanya marekebisho kuondoa huo mnuno, sio akinuna nawe unanuna, unaenda kucheka na washkaji bar hao sio wake zako
Sister uyo mauki yupo mtandao gani eti???Mmezoea kuongea negative tu kuhusu ndoa, Ndio maana mauki anasifia mnamuona sio.
Haha nyie fantasy za "harusi" ni tamuuuu. Baada ya muda jini mkata kamba huyoooooooTena siku hizi hizo Habari ni nyingi jaman. Ukipata kuona photoshoots za maharusii uwiiiiii wanapendeza,wananoga..watafute afta 6months balaa jinamizi kashaingia.
Wanawake wengine wanakuwa desperate mpaka unawaonea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazoee hao...mi nakula tizi lakununiwa ili nikioa niwe nishakula black belt.Kazi Sna,hi Tabia Yawanawake Kununanuna Inanikera Sna Tna Sna Kila Jambo Kununa Tu,sometime Huwa Nafikia Ukomo Wakufikiri Wakusema Hakuna Maana Yakuoa Nibora Kuwapeke Yako,kuliko Mauzi Ya Wanawake
Ila kuongea tu kwa watu kuwa ndoa yangu nzuri au kuelezea uzuri wa ndoa haitoshi kuamini km ndoa yake ni salama, ninaye rafiki wa karibu sana in anatoaga semina za ndoa,,jinsi ya kuishi na Mume/ mke,, kusali pamoja mamb mengi,,na anamotivate hasa,,Sikh zote nasema huyu ndoa yake ni tamu sana,,,Siku moja ananiambia Mara nyingi wananuniana na mume,,wanatengana vyumba Mara kwa Mara,,,mambo kibao ila akiongea unaweza tamani
Hata Chris anaweza kuwa anaongea vile kwakua ni kazi yake,,,
tuliaaaa wewe
Nimekuelewa, but help me out with something. PleaseNdoa sio mbaya, hakuna kitu ambacho Mungu alikitengeneza afu akakiona ni kibaya,; vyote alivyovitengeneza Mungu ni vyema machoni pake including ndoa. Na hakuna taasisi ambayo Mungu ameiheshimisha kama ndoa. Ndo maana hata akaufananisha uhusiano wa mume na mke, na uhusiano wa Kristo na Kanisa. Sisi wanandoa ndo tunaijitahidi kuidharaulisha na kuitukanisha ndoa kutokana na matendo yetu. Angalau hata kina Chris wa najitahidi kuonesha kuwa pamoja na chagamoto zote, still Ndoa ni kitu chema sana, so tushirikiane kuzipa uhai ndoa zetu.
Hata wanaume wananuna mbona tehKazi Sna,hi Tabia Yawanawake Kununanuna Inanikera Sna Tna Sna Kila Jambo Kununa Tu,sometime Huwa Nafikia Ukomo Wakufikiri Wakusema Hakuna Maana Yakuoa Nibora Kuwapeke Yako,kuliko Mauzi Ya Wanawake