Mark Zuckerberg atangaza kurudi hewani mitandao yake

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Mkurugenzi mtendaji na mmiliki wa Facebook ametangaza kurudi hewani kwa mitandao hiyo ambayo ni Facebook, WhatsApp, instagram na messenger ambayo inamilikiwa na facebook.
Mark Zuckerberg amesema mitandao hiyo imerudi hewani saa moja lililo pita na kuwaomba radhi watumiaji wake kwa kusema anajua kiasi gani wanatumia huduma hiyo na walivyo teseka baada ya kutokuwa hewani kwa mitandao hiyo.

Ila facebook imeripoti kwa watumiaji wake kuwa ilikuwa inaweka vyema huduma zake na kwa sasa zipo vizuri na zimerudi hewani.
 
C18D3849-4C78-4F40-821A-421DBF11D67E.jpeg
 
Na kuna tetesi accounts kibao wamiliki hawana access nazo. Wahuni waliohack wanataka pesa ndefu ili waziachie accounts hizo. Hawa Hackers wanataka turudi nineteen kweusi.
Itakuwa kweli maana kuna baadhi ya watumiaji wanalalamika kupoteza baadhi ya taarifa zao kwenye account husika.
 
Ukikubali kulipa wanakufahamisha ulipe kiasi gani na namna ya kulipa. Mara nyingi huwafanyia hivi matajiri lakini imeshamtokea Mbongo mdada ambaye tunafahamiana. Alinitumia request ya kuomba urafiki FB nikashangaa kwani namfollow na yeye ananifollow kwa kipindi kirefu. Nikamuuliza ni aje ananitumia friendship request mpya na ilhali tuko pamoja kipindi kirefu ndipo aliponiambia wachina wamempora FB account yake kuondoa jina lake na profile yake na kuweka ya KE wa kichina. Nikaingia kwenye ile account na kukuta kule ndani kila kitu ni cha yule dada wa Kibongo ila jina na profile zote za kichina.


Hizo pesa zitatumwa au watazipata kwa njia gani bila kuonekana?
 
Back
Top Bottom