idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Wao ndio waliomuweka hivyo hana budi kufuata matakwa yao...Haya siyo maisha rais wa ukraine alitakiwa kufikiria mara 2 kabla ya kuchukua ushauri wa wamagharibi.
Wao ndio waliomuweka hivyo hana budi kufuata matakwa yao...Haya siyo maisha rais wa ukraine alitakiwa kufikiria mara 2 kabla ya kuchukua ushauri wa wamagharibi.
Wao ndio waliomuweka hivyo hana budi kufuata matakwa yao...
Weweeee! Unazijua sheria za mateka wa kivita au?Kuna adhabu mbili, kifo na kufungwa milele. Hawa sijui watapewa adhabu gani na hawatasema hadharani, ni kimya kimya mambo ya kijeshi hayo!
Kwanza mrusi alikuwa akipigana vita vya kidugu, alipoona hawa jamaa wanaleta jeuri na yeye akaamua abadili mbinu na kupunguza huruma za udugu. Jirani gani huyu anayekuletea majambazi nyumbani kwako.
For the Great Mother RussiaMuda mfupi uliopita Urusi imesema jiji la bandari na viwanda la Mariupol limeingia mikononi mwao kikamilifu baada ya kusafisha mabaki ya askari wa Ukraine waliokataa kujisalimisha waliokuwa wamejichimbia kwenye kiwanda kikubwa cha kufua chuma.
Askari hao pamoja na kuishiwa chakula na silaha walikuwa na uzalendo mkubwa na nchi yao na kwa kutiwa moyo na viongozi wao waliendelea kuleta upinzani mkali kwa jeshi la Urusi mpaka pale waliporushiwa makombora mazito mfululizo yaliyowafikia walipojificha na kukigeuza kiwanda hicho kuwa majivu kama ilivyothibitishwa na Reuters.
Mafanikio hayo makubwa ya Urusi yameitikisa Ukraine yote na kupelekea nchi hiyo kutoa tangazo la kusitisha kusafirisha kwenda nje ya nchi nafaka na vyakula vyote. Maelfu ya tani ya nafaka yalikuwa yamekwama kwenye bandari ya Mariupol hivyo kauifanya Ukraine kujaribu kusafirisha nafaka kibiashara kupitia kaskazini ya nchi hiyo kabla ya kutolewa tangazo la katazo hilo.
Jiji zuri la Kyiv nalo linaendelea kuwaka moto.
View attachment 2190254
POW hawatakiwi uawaKuna adhabu mbili, kifo na kufungwa milele. Hawa sijui watapewa adhabu gani na hawatasema hadharani, ni kimya kimya mambo ya kijeshi hayo!
Inategemea na huruma ya wanaowadhibitWanajeshi wakisha jisalimisha huwa wanapewa adhabu au wanaachwa tu
Kama umesikiliza vilio vya raisi Zelensky sasa utakubaliana na Urusi kuwa Mariupol ipo chini yao.Anachobembeleza Zelensky ni kuwa hao askari wake waliobaki wasiuliwe.Anatishia ikiwa watauliwa basi mazungumzo na Urusi itakuwa basi. Hoja zake hazina maana kama hajawaamrisha wajisalimishe.Na atakachokifanya Mrusi kwao basi asilaumiwe.Hiyo Moriopol Russia wamekuwa wakitangaza mara kadhaa upo chini yao lakini Ukraine wanakataa
Huyu sasa sio adui wa Waukreni tu bali wa dunia nzima.Ametuletea balaa kubwa la kiuchumi kwani nchi yake ilikuwa ni shamba la dunia. Eti kila siku anataka tuandamane kwa ajili ya upuuzi wake.Haya siyo maisha rais wa ukraine alitakiwa kufikiria mara 2 kabla ya kuchukua ushauri wa wamagharibi.
Vladimir ana hasira sana.Hayo yote yamekuja baada ya Ukraine kushambulia ile mashua?
Ni utamaduni wa kisoviet kuharibu mijiManeno ya Meya wa Mariupol baada ya mji kuanguka"Nasikia warusi wanajisifia kukamata mji wa Mariupol,wameuwa watu zaidi ya elfu 10 na kubomoa asilimia 95 ya majengo yote.sasa hapo kuna mji gani wa kuchukua,mji usiokuwa na watu wala majengo"
Haya ni maneno ya mkosaji
Huwa wanakua wafungwa wakivita ila kwa Majangili ya Ukraine yatafumuliwa kwanza marinda afu ndio yatafungwa (POW)Wanajeshi wakisha jisalimisha huwa wanapewa adhabu au wanaachwa tu
Ila Majangili ya Ukraine yanatakiwa kutolewa marinda