Exactly BHT!KP nadhani kuna point hujaelewa au mimi sijaelewa...PJ kaongelea utoaji wa mimba nayohatarisha maisha ya mama (hii inakubalika ikithibitishwa na mganga) na hapo aliposema mimba iliyotokea involuntarily nahisi ni typo error, nimeelewa kama alitaka kusema mimba iliyotoka involuntarily kwa hivyo PAC utapata pale Marie Stopes
bht...hata mimi nimeshangaa sana! maana mimba zinatokea involuntarily ni nyingi sana! Na kama mimba imetoka, wao wanachofanya ni kumsafisha mama na sio kutoa mimba! Mhhhh hapo kwa kweli sijaelewa..................
Exactly BHT!
Ambacho hajanielewa KH ni kati ya phrases hizi 2 "mimba kutokea kwa hahati mbaya' na "Mimba kutoka kwa bahati mbaya"
I actually meant the second phrase!, thanx for clarification!
Mimba gani hizo ambazo hutokea involuntarily? Manake sijawahi sikia mimi hizo....hebu elezea zinavyotokea tafadhali.
Bwana Ndetichia, nakuheshimu mzee!hii ni hatari na hawa jamaa nadhani wameingia kwa gia ya missionary..
Soma majibu ya Bht na Quotations zangu pale juu, naamini hutouliza swali hilo tena!Mimba gani hizo ambazo hutokea involuntarily? Manake sijawahi sikia mimi hizo....hebu elezea zinavyotokea tafadhali.
Hearsay...!What i heard is that they do abortion officialy.. Its part of their services. And as far as the law is concerned they are probably permitted because otherwise wangesha kamatwa by now.
Mimba gani hizo ambazo hutokea involuntarily? Manake sijawahi sikia mimi hizo....hebu elezea zinavyotokea tafadhali.
Exactly BHT!
Ambacho hajanielewa KH ni kati ya phrases hizi 2 "mimba kutokea kwa hahati mbaya' na "Mimba kutoka kwa bahati mbaya"
I actually meant the second phrase!, thanx for clarification!
Huu mchezo bado wanao tu?
Mimba ambazo ulikuwa hujapanga kupata, lakini imetokea.....yaani bahati mbaya!
Mimba ambazo ulikuwa hujapanga kupata, lakini imetokea.....yaani bahati mbaya!
nilipokuwa form two,kuna mshikaji wangu mmoja alipata kesi ya kumpa mimba msichana
kwa sisi wengine tulikuwa na wasiwasi mno jamaa atafanyaje,baada ya wiki jamaa akaja kutusimulia
yaliyotokea...akatuambia yeye na gf wake walienda clinic ya marie stpoes,wakasema wanataka kutoa mimba..
mapolezi,wakalipia gharama na risiti wakapewa,akatuonesha...
sikubuki now kilichoandikwa kwenye risiti...na baadae huyo msichana akafanyiwa abortion....
sasa later on ukubwani niliwai soma kwenye magazine moja kuwa hizi taasisi au clinic za marie stopes
ni clinic maalum kwa wanaotaka kutoa mimba...ni za wanaharakati wanaotetea utoaji wa mimba
sasa hapo kidogo ndio najiuliza
je hapa tz hawa marie stopes wana operate kwa vibali vipi?
na je ni kweli wanatoa mimba bila kificho????
sheria zetu zikoje?na kwa nini kama hawa wapo tena kwa uwazi,wapo wadada wanahatarisha maisha yao kwa
kutoa mimba vichochoroni???????
Hearsay...!
You heard from whom?
Did you take your time doing a bit of follow up, or you just live by gossip!
<br />hii ni hatari na hawa jamaa nadhani wameingia kwa gia ya missionary..
Jafaham ni mjadala mngine ila swali la Maria Stopes zinahusu na dispensary zingine hata chemist. Si unaona comment ya Gaijin? kwa kweli ni bora wahalalishe tu na serikali iwe inafanya audits na inspections. bila hivo watu wataendelea kutoa kwa uficho na dispensary zitaendelea kutosa faini kubwa kwa kitu illegal.Huu ni mjadala mwingine ambao utasababisha watu watoane macho...
Hivi kwa nini serikali isihalalishe kutoa mimba? Rwanda ni free (on state health department expences) Burundi ni halali before the 6th week etc. Kwa nini TZ wasiamui tu iwe free, na waweke sheria maalum za kitendo hicho?
Samahani Boss, maybe nimesukuma boundary ya post yako mbali kidogo
Mama akishapata mimba hana haki tena kumchagulia kiumbe mwingine kuishi au kufa...! Hayo ya kuchaguwa yanapaswa kufanyika kabla ya ujauzito na si baada ya ujauzito.Kutoa mimba ni halali hapa Tz.......isipokuwa uhalali huo uambatane na 'sababu halali' za kutoa mimba hiyo. Utoaji wa mimba ni mojawapo ya dilema ambazo ni vigumu sana kupata ufumbuzi/consesus katika jamii nyingi. Kuna masuala mengi tu, mojawapo: haki ya kuishi ya mtoto/mimba vs haki ya mama kuchagua.