Nataka kuelewa kuhusu haya maridhiano ya Kitaifa yanayozungumzwa sana.
Maaridhiano haya ni baina ya nani na nani? Kama ni ya Kitaifa swali langu "Kwani kuna mgogoro au kutoelewana baina ya nani na nani?"
Serikali haielewani na Wananchi?, ni baina ya Dola na Wananchi? ni Vyama vya siasa? Au tunataka kuridhiana juu ya kitu gani na kwa nini? Wadau wa maridhiano haya wanatokana na tatizo gani?
Maana tumewahi kuona maridhiano baina ya CCM na Chadema na wakawekeana masharti. Pia majuzi tu kulikuwa na maridhiano ya Serikali ya Zanzibar wanajua wao hoja na madai yalokuwepo.
Hata maridhiano baina ya Marekani na Iran ni kwa sababu kuna vita baina yao ili kupata suluhu wanawekeana masharti.
Sisi Tanzania tunataka maridhiano ya Kitaifa kufuatia nini na kwa matumaini gani? Kuna jambo au mgogoro gani unaohitaji maridhiano baina ya wahusika? Mimi sielewi naomba kuelimishwa.
Maasalaam
Maaridhiano haya ni baina ya nani na nani? Kama ni ya Kitaifa swali langu "Kwani kuna mgogoro au kutoelewana baina ya nani na nani?"
Serikali haielewani na Wananchi?, ni baina ya Dola na Wananchi? ni Vyama vya siasa? Au tunataka kuridhiana juu ya kitu gani na kwa nini? Wadau wa maridhiano haya wanatokana na tatizo gani?
Maana tumewahi kuona maridhiano baina ya CCM na Chadema na wakawekeana masharti. Pia majuzi tu kulikuwa na maridhiano ya Serikali ya Zanzibar wanajua wao hoja na madai yalokuwepo.
Hata maridhiano baina ya Marekani na Iran ni kwa sababu kuna vita baina yao ili kupata suluhu wanawekeana masharti.
Sisi Tanzania tunataka maridhiano ya Kitaifa kufuatia nini na kwa matumaini gani? Kuna jambo au mgogoro gani unaohitaji maridhiano baina ya wahusika? Mimi sielewi naomba kuelimishwa.
Maasalaam