bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,668
Nitakuwa wa mwisho kukubaliana na hili..! Ukiniambia tuwekeze kuzuia mimba nitakuelewa si katika kurusu ujinga wa hawa watoto wabebe tu na watarudi shule.
Wanaharakati tukikosa kutumia hekima badala yake tukabeba mihemko ni ujinga, mnamfikiria mtoto mama vipi mtoto mjukuu, atalelewa na nani..??
Ukisha zaa wewe si mtoto ni mzazi tayari. Kwanini hamuoni pia mtoto kumlea mtoto ni ajira za utotoni tena zisizo na malipo ya moja kwa moja..?? Iweje mtetee mtoto anayeomba kufanya kazi za ndani ambazo kimsingi ni kama hizo za kulea mtoto afu huyu muone bora azae na akalee, binafsi sikubaliani kabisa, kikubwa tupambane kuzuia mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaharakati tukikosa kutumia hekima badala yake tukabeba mihemko ni ujinga, mnamfikiria mtoto mama vipi mtoto mjukuu, atalelewa na nani..??
Ukisha zaa wewe si mtoto ni mzazi tayari. Kwanini hamuoni pia mtoto kumlea mtoto ni ajira za utotoni tena zisizo na malipo ya moja kwa moja..?? Iweje mtetee mtoto anayeomba kufanya kazi za ndani ambazo kimsingi ni kama hizo za kulea mtoto afu huyu muone bora azae na akalee, binafsi sikubaliani kabisa, kikubwa tupambane kuzuia mimba
Sent using Jamii Forums mobile app