Maria Sarungi: Mkopo wa WB wa elimu una masharti ya mtoto lazima arudi shule baada ya kujifungua, si Ombi ni lazima. Serikali kwanini inaficha ukweli?

Nitakuwa wa mwisho kukubaliana na hili..! Ukiniambia tuwekeze kuzuia mimba nitakuelewa si katika kurusu ujinga wa hawa watoto wabebe tu na watarudi shule.

Wanaharakati tukikosa kutumia hekima badala yake tukabeba mihemko ni ujinga, mnamfikiria mtoto mama vipi mtoto mjukuu, atalelewa na nani..??

Ukisha zaa wewe si mtoto ni mzazi tayari. Kwanini hamuoni pia mtoto kumlea mtoto ni ajira za utotoni tena zisizo na malipo ya moja kwa moja..?? Iweje mtetee mtoto anayeomba kufanya kazi za ndani ambazo kimsingi ni kama hizo za kulea mtoto afu huyu muone bora azae na akalee, binafsi sikubaliani kabisa, kikubwa tupambane kuzuia mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa ninaloliona hapa ni kuwa wanaharakati pamoja na baadhi yetu tumedahsu kuwa biashara kubwa ya WB ni kutoa Mikopo ya kibiashara kwa wateja wao ambao mara nyingi ni Serikali mbalimbali na sio pesa za bure/Grants. Ndio maana hio pesa inayotolewa ni lazima itarudishwa pamoja na Riba juu.

Sasa kwa mantiki hio, bodi ya WB inapokaa kujadili ombi lolote la mkopo kutoka kwa mteja kama serikali ya Tanzania ni lazima kitu cha kwanza waangalie ni namna gani watapata faida kwenye mkopo (i.e, uwezo wa mkopaji kulipa), pili pesa zilizoombwa ni kwa ajili ya matumizi gani? kama benki nyingine yeyote ifanyavyo. Na hii hua imechanganuliwa na business plan iliyopelekwa na mteja husika (mf. Serikali ya Tanzania).

WB wakiridhishwa kuwa mteja anekidhi hivyo viwango tajwa hapo juu wanatoa huo mkopo kama vile walivyotaka kufanya pale awali kabla ya Zitto na kundi lake hawajazua taharuki. Hawa kwa lugha ya Mslkia huitwa stakeholders.

Linapotokea suala la stakeholders kulalamika inabidi WB wamuite mteja wao (serikali) ili atoe maelezo ya namna ya ku address stakeholders queries and expectations. Mteja/serikali ikilitollea hilo maelezo ya kuridhisha, WB itatoa mkopo kwa serikali/mteja husika kama ilivyofanya.

Kwa kifupi WB huwa wanasikiliza zaidi na kujadiliana serikali husika (mteja) na sio vikundi vya wanaharakati au watu binafsi, ingawaje kama wana hoja za msingi wanaweza kusilizwa as stakeholders.

Serikali ndio hukabidhiwa huo mkopo kwa manufaa ya wote waliopinga na wasiopinga, na mkopo huo ni lazima ulipwe kwa kodi zetu wote, waliopinga na wasiopinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisingeweza formulate vizuri namna hiyo kama wewe ulivyo fanya. Respect! Wewe ni mhasibu nini mkuu? Safi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo naandika andiko la kuanzisha ka NGO nikaite Ng'washilalage Teen Mother Pupil Development Credit. (Nisaidieni wakuu jinsi ya kuwekajina la taasisi hii liwe zuri na inayoonyesha upendo kwa mabinti wanaonyonyesha)

Uingereza walijaribu kuwapa vizuia mimba watoto matokeo walijuta, sisi tumepewa mkopo wenye masharti ya kuwaruhusu wazaliane na kujaza madarasa! Wazungu mababu zenu walibomoa mila na tamaduni zetu enzi za ukoloni kumbe bado mna kinyongo
Wakati huo mimi naandaa jina la taasisi mbili moja nitaiita ng'wakiliambiti na nyingine niite ng'washitolyo
 
Wewe

Wewe unajua mamaako alifanywa nini akiwa shule ya Msingi????
Mimi nadhani, kosa lilikuwa kutangaza kuwa WENYE MIMBA MARUFUKU. Maanatulikuwa na utaratibu wetu wa kimyakimya na ulitufaa.
Kwa bahati mbaya mama yangu hakuliona darasa
 
I think some issues you don’t need to shout loud, it sounds nonsense, because even in Europe and North America nothing like that happens.

What is needed is to empower young girls with needful tools to equip themselves from such act of early pregnancy.
Compatible culture or democracy won’t be the solution.
You are very wrong thinking that you know much about what happens out there
 
Hata hiyo 2021, kutolewa mkopo ni conditonal... sio tu ikifika Financial Year ya mwaka 2021 pesa ndo inatoka, hapana! Kifungu cha 10 cha masharti kinasema:-

Na nyie mnaopinga masharti hayo ya WB na kutaka watoto wafukuzwe, naomba mnijibu maswali yafuatayo:-

1. Serikali hiyo hiyo mnayoitetea inatoa ruhusa kwa watoto waliopata ujauzito kuendelea na shule za binafsi!!
(a) Kama mnaamini wakiendelea na shule za serikali watawaharibu watoto wengine, mnataka kusema huko shule binafsi wanaosoma ni watu wazima, au hao wakihabaribiwa ni poa tu?!

(b) Kama mnaona hawezi kuendelea shule za serikali kwa sababu kupata mimba ni very serious offense!
Je, wahalifu wengine hawapati huduma za serikali kwa sababu ya uhalifu wao?! Leo hii Jambazi akifanya tukio mahali, na yeye akajeruhiwa; je akipelekwa hospitali za serikali hatahudumiwa kwa sababu yeye ni jambazi?!

(c) Wale Mateja, tena wengi wanaanza kubugia unga wakati wameshakuwa na utimilifu wa akili! Mnataka kusema wakipelekwa hospitali kwa matatizo yanayohusiana na uteja wao huwa hawapati huduma?

Kwanini nongwa kwenu iwe dhidi innocent school girls?! Hivi hoja yenu hasa ni ipi?!

Msilete hoja za kinafiki kama vile maadili na utamaduni wenu kwa sababu hicho kitu haki-exist na ndio maana hawa watoto wamekuwa wakipewa ujauzito wakati mwingine na watu wazima na hata walimu wao!!

Kwahiyo suala la maadili ni UNAFIKI, kwa sababu hata huko serikalini kwenyewe, including na nyie mnaotaka watoto wafukuzwe, hayo maadili hamna!!!

Ukristo na Uislamu unakataza kuzini! Apite hapa mmoja wenu aseme hajawahi kuzini licha ya msingi mkuu wa maadili ambao ni dini unawakataza kufanya hivyo!!

Watu wazima, wengine mna hadi wajukuu hamna maadili halafu mnatarajia mtoto ndo awe na maadili... ataiga kutoka wapi wakati the whole society is corrupted?!
Muuu,sawa nadhani MAFARISAYO WANAFIKI wamekuelewa bila chenga,wapiga mimba wakubwa.
 
Samahani mkuu, unaweza Ku-highlight hiyo sheria kisha ukatuma humu na sisi tuweze kuona?
Maria Sarungi anawapotosha wasiojua. Sheria ya Elimu inatamka wazi kuwa binti kuwa na ujauzito ANAFUKUZWA shule. Kinachohitajika ni Mkuu wa Shule kama Katibu wa Bodi ya Shule kuhitisha kikao cha Bodi ya Shule na kuwathibitishia wajumne kuwa motto ana ujauzito. Kikao hicho pia mtoto na mzazi/mlezi wake wanahudhuria. Na kwakuwa ni Sheria ya Elimu ilipitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi inabidi Binge hilo liifanyie mabadiliko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maria Sarungi anawapotosha wasiojua. Sheria ya Elimu inatamka wazi kuwa binti kuwa na ujauzito ANAFUKUZWA shule. Kinachohitajika ni Mkuu wa Shule kama Katibu wa Bodi ya Shule kuhitisha kikao cha Bodi ya Shule na kuwathibitishia wajumne kuwa motto ana ujauzito. Kikao hicho pia mtoto na mzazi/mlezi wake wanahudhuria. Na kwakuwa ni Sheria ya Elimu ilipitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi inabidi Binge hilo liifanyie mabadiliko.
Mwongozo wa Wizara ya Elimu, hivi ndivyo unavyosema:-
Girls.png

KIFUNGU CHA 2.0 kinasema:-
Procedures that enables impregnated school girls get back to school to continue with their
studies includes responsibilities and actions to be taken by respective actors/stakeholders.

Guidelines on how to enable pregnant girls to continue with their studies in the process of facilitating the achievement of the whole idea of enabling impregnated school girls get back to school. The following are actors and responsibilities:
Kumbe Mwongozo umetowa majukumu kwa washika dau wote, na hapa nataja wadau wakuu wawili:-

KIFUNGU CHA 2.3- Mwongozo kwa Wazazi/ Walazi
Parents.png


KIFUNGU CHA 2.6 ni Mwongozo kwa serikali:
-
Govt.png


Haya, weka hapa hiyo sheria unayosema "Sheria ya Elimu inatamka wazi kuwa binti kuwa na ujauzito ANAFUKUZWA shule."

Angalizo ni kwamba, huo mwongozo hapo juu ni wa April, 2009... kwahiyo tuwekee hapa sheria iliyokuja baada ya huo mwongozo!!
 
Anaandika Maria Sarungi

Mambo ni mengi muda mchache
Leo habari imefika mkopo wa World Bank ineidhinishwa kwa ajili ya elimu ya sekondari- nimekuwa bize kuelimisha watu Twitter ila na huku ni vyema tukijikita kusoma kwa kiina mpk maandishi madogo 😂😂maana masharti yako clear ni hivi:

1. Mkopo umeidhinishwa ila hata sh 10 hawapati mpk 2021 na ni BAADA YA kuelewana kuhusu uendeshaji ukiwemo mpango wa kurudi kwa watoto wa kike waliopata mimba mashuleni - bora uchaguzi upite!

2. Serikali imekana kuwa na sera yoyote ya kumfukuza mtoto aliyepata mimba 🤣🤣🤣 so waliokuwa wanafukuza ni “practice” tu! So hata viongozi mnaosema wafukuzwe maana sheria inasema mmekanwa! 😂😂 hayo ni mawazo yenu! Ok? Chezeya pesa wewe?

3. Benki ya Dunia imesema msimamo wake ni kuhakikisha inafuta mazoea ya kufukuza mtoto wa kike aliyepata mimba shule na inataka kuhakikisha wanarudi tena shule za serikali na shule waliotoka! Sasa nasubiri wale wanaojua kujimwabafai waje wajitutumue humu!

4. Hazina ya Marekani imetoa msimamo mkali kuwa ilishapiga ❌ mkopo huu na inataka Management ya World Bank ihakikishe inasimamia watoto wa kike kurudi shule - kumbukeni $ inatoka % kubwa US na ndo wameshikilia mpini! Rais wa World Bank David Malpass katokea huko Treasury!

Na alipendekezwa na Trump! Sasa wale wakujimwambafai naomba kama vipi waseme hawawezi kuendeshwa na mabeberu wagomee mkopo! 🤷🏽‍♀️ Kwa kuhitimisha - watoto wa kike kurudi shule rasmi (si kuwapeleka elimu ya watu wazima) si OMBI ni LAZIMA! Sasa msipotuelewa kwa kelele za mitandaoni mtatuelewa kwa njia nyingine ila hatimaye #TutaelewanaTu

Mkopo huu SIYO WA SERIKALI bali unachukuliwa kwa ajili ya wananchi wa #Tanzania ! Tuna haki ya kuulizia na kufuatilia na kukosoa! Ila haki ya mtoto wa kike tutapigania! Mkopo wataulipa wao na watoto wao pia!
#ArudiShule
#ChangeTanzania
Wewe akili zako hazimo au hazikutoshi! Wazazi hawajazuiliwa kuendelea na shule baada ya kujifungua! Kilichozuiwa ni kutokana na Mira na desturi kama nchi! Nchi yoyote ina Mira na desturi yake ikiwa ni pamoja na wazazi kutochangamana na watoto katika shule za secondary! Wazazi kamwe hawawezi kuchanganywa na watoto wa secondary! Watasoma katika mfumo wa VETA na QT au vyuo vingine chini ya NECTA! Usipotoshe wazazi kamwe hawawezi kuchanganywa na watoto watiitu waliojitenga na ngono!
 
I think some issues you don’t need to shout loud, it sounds nonsense, because even in Europe and North America nothing like that happens.

What is needed is to empower young girls with needful tools to equip themselves from such act of early pregnancy.
Compatible culture or democracy won’t be the solution.
Mawazo yako ni mazuri isipokuwa msingi wa hoja tetezi wa Sarungi hujauelewa vizuri.
 

Wakati baba yako akiwa waziri wa afya na ulinzi Tanzania na akila hela za miasaada na mikopo ambayo wazalendo wa leo wanahangaika kulipa mbona wewe sijakusikia ukifanya shughuli zako za kiuharakati?

Ingekuwa bora ungeanza kummwuuliza baba yako hizo hela za maboresho ya afya kwa watanzania katika matumizi ya ujenzi wa majengo ya hospitali na madawa zlienda wapi? Wakati huduma za afya nchini zikiwa catastrophically duni?

Wakati hizo hela zinakusaidia wewe kusoma kwenye shule za kimataifa na kuenjoy life style za maisha ya kizungu kwenye nchi ya mama yako Hungary na nyinginezo kwako ilikuwa sawa na right yako, lakini sasa hivi nchi imeshikwa na wazalendo ambao wamedhamiria kurudisha hadhi ya nchi yetu na kutuvusha kwenda kwenye uchumi wa kati, nyie ndiyo sasa mnakuja na mawazo yenu ya kiharakati mkiwa na lengo la kuturudisha sisi nyuma ili nyie mwendelee kula hela za bure kutoka kwa ma NGOs wenu wanao wa support.

Acheni ujinga wa kimasikini. Msiangamize taifa letu kwa pesa za DEZO mnazozipata kutoka kwa hao wafadhili wenu. Wao nao ni watu wanao tumiwa vile vile na matajiri wao kutupumbaza sisi ili wao aendelee kunufaika kwa umasikini na ujinga wetu.

Msipende kutetea mambo ambayo nyie msingependa watoto wenu wafanyiwe. Na ndiyo maana wengi wenu mnao kakamaa kwenye mchakato huu wa kuwarudisha watoto wenye mimba shule ni wanawake gumba, msio zaa. Hamna viungo kamili na bora vinavyo support uzazi. Nyie wengi wenu ni walemavu wa viungo vya uzazi. That is the fact!

Kama nyie ni watu wenye busara, jaribuni kujiweka nyie wenyewe kwenye positions za wazazi wenu ambao wanawasomesha kwa hali na mali kuwajengea maisha yenu ya baadae, mnafikiri kweli wangeweza kufurahia kitendo cha kuona watoto wao wa kidadoto cha tatu wakipata mimba? Yaani nyie mnatetea vitu vya kipuuzi bila hata ethic?

Kwa mawazo yangu nyie hamna nia yoyote ya kujenga na kuisaidia nchi hii. Nyie, kwa lugha zetu za uswahilini, tuna waita malofa na malimbukeni wa wazungu. Mnatabia za kinafiki na ni destroyer wa society za kimasikini.

Maria Sarungi usitake kuudanganya umma kuhusu masharti ambayo world Bank imetoa kwa serikali ya Tanzania. Kwanza jina lenyewe tu peke yake limekaa ki Business zaidi kuliko fikiria zako. Itakuwaje leo world bank itoe mkopo based on the conditions za kwamba watoto wenye mimba lazima warudi shule? Duuh! Sister unajonzi nzuri sana za mchana!

World Bank ninavyo ijua mimi ni an Enterprise ambayo ina lengo la kuleta profit kutokana na mikopo wanayo itoa. Hiyo sio a charity institution sister, hiyo ni Bank ambayo ina lengo moja tu kutoa mikopo based on the conditions that nchi inayokopa lazima ilipe interest. Kitu kingine kikubwa katika mkopo ni lazima awaangalie security ikoje na conditions nyingine za uwezekano wa hiyo nchi kuweza kurudisha hela zao kwa faida.

Nasikitika sana watu mlio fanikiwa kama nyie hamna kazi nyingine zaidi ya kuwapumbaza watanazania wenzenu kwa mambo ambayo hayawasaidii wala kuwajenga kimaisha ambayo yatawawezesha kuja ku compete kiuchumi na mataifa ambayo mnayaita yamendelea. Kama hayo mataifa yameendelea kweli mbona sasa huu ugonjwa wa Covid-19 unawaumbua?

Ugonjwa huu wa Covid-19 unawafanya waamerika wanapukutika kama "likungu". Mbona hayo maendeleo yao hatuyaoni yakiwasaidia watu wao wasife kinyama namna hiyo? Zaidi ya hayo sister naomba ujiulize mwenyewe hao matajiri wao wanao jivunia kama akina Bill Gates, Warren Buffett, Jeff Bezos, Zuckerberg na wengineo mbona hatuwasikii wakiwa mstari wa mbele kutumia hela zao kuwasaidia wananchi wenzao wasipukutike kama vifaranga vya kuku? Kwa besa walizo wanyonya si zingeweza kuzuia hayo maafa yasitokee kwa wingi?

Sasa hivi kelele zao zote ziko kwenye serikali yao. Serikali yao? Serikali yao haina uwezo mkubwa wa kuweza kuchukua maamuzi ya haraka ili kuwasaidia wananchi wasidhurike kwa kiasinkikubwa namna hiyo, kwani serikali yao wamekwisha inyonya ile mbaya kiasi kwamba na yenyewe inabidi itafute mikopo sehemu nyingine.

Sister nakushauri acha ujinga wa kitoto wa kusupport madudu ambayo ni ya hovyo katika society yetu na kuwapumbaza watanzania wenzako kwa mambo ambayo haytusaidii sisi na kutujenga kiuchumi kwa manufaa ya maisha bora ya baadae ya vizazi vyetu vijavyo. Kwa vile wewe huna kizazi isiwe ndiyo nongwa ya kutufanya sisi pia tuharibu maisha ya vizazi vyetu vya baadae.
Tatizo lako la maumbile yako la kukufanya wewe kuto function kama bidam wengine, ni tatizo lako wewe na mungu wako. Sisi watanzania hatuhusiki na wala hatuna uwezo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unachotetea ni mufilisi na unachopinga ni mufilisi.
 
Return Of Undertaker,

Mwaka 2014 nilimsapoti sana Maria na kuna wakati niliweka thread hapa kumhamaishea agombee urais mwaka 2015 ila watu wengi walinishangaa sana kwa maoni yale.

Kumbe kweli Maria huyu ni bomu kabisa. Sehemu kubwa sana ya busara ni uwezo wa kuzungumza mambo sahihi kwa wakati wake. Hana

Kufikiri kwamba uliyemtaja angeweza kugombea uraisi, ni moja ya makosa makubwa uliyopata kufanya. Bila shaka umekwisha jisamehe.
 

Wakati baba yako akiwa waziri wa afya na ulinzi Tanzania na akila hela za miasaada na mikopo ambayo wazalendo wa leo wanahangaika kulipa mbona wewe sijakusikia ukifanya shughuli zako za kiuharakati?

Ingekuwa bora ungeanza kummwuuliza baba yako hizo hela za maboresho ya afya kwa watanzania katika matumizi ya ujenzi wa majengo ya hospitali na madawa zlienda wapi? Wakati huduma za afya nchini zikiwa catastrophically duni?

Wakati hizo hela zinakusaidia wewe kusoma kwenye shule za kimataifa na kuenjoy life style za maisha ya kizungu kwenye nchi ya mama yako Hungary na nyinginezo kwako ilikuwa sawa na right yako, lakini sasa hivi nchi imeshikwa na wazalendo ambao wamedhamiria kurudisha hadhi ya nchi yetu na kutuvusha kwenda kwenye uchumi wa kati, nyie ndiyo sasa mnakuja na mawazo yenu ya kiharakati mkiwa na lengo la kuturudisha sisi nyuma ili nyie mwendelee kula hela za bure kutoka kwa ma NGOs wenu wanao wa support.

Acheni ujinga wa kimasikini. Msiangamize taifa letu kwa pesa za DEZO mnazozipata kutoka kwa hao wafadhili wenu. Wao nao ni watu wanao tumiwa vile vile na matajiri wao kutupumbaza sisi ili wao aendelee kunufaika kwa umasikini na ujinga wetu.

Msipende kutetea mambo ambayo nyie msingependa watoto wenu wafanyiwe. Na ndiyo maana wengi wenu mnao kakamaa kwenye mchakato huu wa kuwarudisha watoto wenye mimba shule ni wanawake gumba, msio zaa. Hamna viungo kamili na bora vinavyo support uzazi. Nyie wengi wenu ni walemavu wa viungo vya uzazi. That is the fact!

Kama nyie ni watu wenye busara, jaribuni kujiweka nyie wenyewe kwenye positions za wazazi wenu ambao wanawasomesha kwa hali na mali kuwajengea maisha yenu ya baadae, mnafikiri kweli wangeweza kufurahia kitendo cha kuona watoto wao wa kidadoto cha tatu wakipata mimba? Yaani nyie mnatetea vitu vya kipuuzi bila hata ethic?

Kwa mawazo yangu nyie hamna nia yoyote ya kujenga na kuisaidia nchi hii. Nyie, kwa lugha zetu za uswahilini, tuna waita malofa na malimbukeni wa wazungu. Mnatabia za kinafiki na ni destroyer wa society za kimasikini.

Maria Sarungi usitake kuudanganya umma kuhusu masharti ambayo world Bank imetoa kwa serikali ya Tanzania. Kwanza jina lenyewe tu peke yake limekaa ki Business zaidi kuliko fikiria zako. Itakuwaje leo world bank itoe mkopo based on the conditions za kwamba watoto wenye mimba lazima warudi shule? Duuh! Sister unajonzi nzuri sana za mchana!

World Bank ninavyo ijua mimi ni an Enterprise ambayo ina lengo la kuleta profit kutokana na mikopo wanayo itoa. Hiyo sio a charity institution sister, hiyo ni Bank ambayo ina lengo moja tu kutoa mikopo based on the conditions that nchi inayokopa lazima ilipe interest. Kitu kingine kikubwa katika mkopo ni lazima awaangalie security ikoje na conditions nyingine za uwezekano wa hiyo nchi kuweza kurudisha hela zao kwa faida.

Nasikitika sana watu mlio fanikiwa kama nyie hamna kazi nyingine zaidi ya kuwapumbaza watanazania wenzenu kwa mambo ambayo hayawasaidii wala kuwajenga kimaisha ambayo yatawawezesha kuja ku compete kiuchumi na mataifa ambayo mnayaita yamendelea. Kama hayo mataifa yameendelea kweli mbona sasa huu ugonjwa wa Covid-19 unawaumbua?

Ugonjwa huu wa Covid-19 unawafanya waamerika wanapukutika kama "likungu". Mbona hayo maendeleo yao hatuyaoni yakiwasaidia watu wao wasife kinyama namna hiyo? Zaidi ya hayo sister naomba ujiulize mwenyewe hao matajiri wao wanao jivunia kama akina Bill Gates, Warren Buffett, Jeff Bezos, Zuckerberg na wengineo mbona hatuwasikii wakiwa mstari wa mbele kutumia hela zao kuwasaidia wananchi wenzao wasipukutike kama vifaranga vya kuku? Kwa besa walizo wanyonya si zingeweza kuzuia hayo maafa yasitokee kwa wingi?

Sasa hivi kelele zao zote ziko kwenye serikali yao. Serikali yao? Serikali yao haina uwezo mkubwa wa kuweza kuchukua maamuzi ya haraka ili kuwasaidia wananchi wasidhurike kwa kiasinkikubwa namna hiyo, kwani serikali yao wamekwisha inyonya ile mbaya kiasi kwamba na yenyewe inabidi itafute mikopo sehemu nyingine.

Sister nakushauri acha ujinga wa kitoto wa kusupport madudu ambayo ni ya hovyo katika society yetu na kuwapumbaza watanzania wenzako kwa mambo ambayo haytusaidii sisi na kutujenga kiuchumi kwa manufaa ya maisha bora ya baadae ya vizazi vyetu vijavyo. Kwa vile wewe huna kizazi isiwe ndiyo nongwa ya kutufanya sisi pia tuharibu maisha ya vizazi vyetu vya baadae.
Tatizo lako la maumbile yako la kukufanya wewe kuto function kama bidam wengine, ni tatizo lako wewe na mungu wako. Sisi watanzania hatuhusiki na wala hatuna uwezo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mataga mna shida nyie! Umesoma financing agreement yenyewe? Ni bora ukauliza ili uelimishwe kuliko kujifanya unajua operation za IDA. Hiyo sio loan ndugu, ni CREDIT. Hizo terms kwenye operations za World Bank zina maana na treatment tofauti mno.
Badala ya kumshambulia personally Maria ingependeza zaidi kuthibitisha uongo au uzushi wake kwa facts zilizopo kwenye financing agreement zikiwa na maana tofauti na hicho alichoandika Maria.

Kati ya vitu serikali hii ya jiwe inavyoviogopa ni UKWELI kuwekwa hadharani. Ni serikali inayodhani propaganda zinaweza kuficha ukweli. Hilo halitatokea aslani. Matusi yote hayo uliyomtukana Maria yanaashiria jambo moja tu:
Anaongea ukweli msiotaka ujulikane. Live with it dude, this is 21st century and it is the era whereby information is more freely available. Unamkumbuka alietamka hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na kuzima mitandao yote"?

Tell him that won't happen, even in his wildest dreams. Eti tunaelekea kwenye uchumi wa kati!
Uchumi wa kati my foot!
 
Back
Top Bottom