Serikali inapaswa kuwa makini na ajira hizi za upendeleo zinazokuwa zinatolewa kwa makada wake hasa vijana wa CCM au katika nafasi zozote hasa inapotokea fursa yoyote.
Huyu Mtendaji wa kata ni mmoja kati wa vijana wa CCM aliyeajiriwa akitokea katika vyeo vya UVCCM na kupata ajira serikali.
Picha zinazosambaa katika mitandao ya kijamii na magroup mbalimbali ya Whatsapp wakionesha akifokea wanafunzi wa kike na nyingine akionesha uchafu maeneo ya jikoni, vyooni na mabweni yanayotumiwa na watoto wa kike.
Chanzo kinadaiwa ni picha alizopiga na kujirekodi na kuzisambaza katika group ya wafanyakazi wa kata ya Boma. Taarifa zinaeleza kuwa alijirekodi alipokwenda kusimamia usafi shuleni hapo. Aidha amefanya hivyo kwa kutafuta sifa au kuchafua uongozi wa shule hiyo.
Kama lengo lake ni kufanya usafi Kuna sababu gani kusambaza picha hizo. Idhini ya kufanya hivyo kapewa na nani?
Sheria ya elimu zinasemaje juu ya kusambaza taarifa za shule au taasisi nyingine za serikali. Hii haiwezi kuleta taharuki kwa wazazi juu ya usalama wa afya za watoto wao?
Huyu Mtendaji wa kata ni mmoja kati wa vijana wa CCM aliyeajiriwa akitokea katika vyeo vya UVCCM na kupata ajira serikali.
Picha zinazosambaa katika mitandao ya kijamii na magroup mbalimbali ya Whatsapp wakionesha akifokea wanafunzi wa kike na nyingine akionesha uchafu maeneo ya jikoni, vyooni na mabweni yanayotumiwa na watoto wa kike.
Chanzo kinadaiwa ni picha alizopiga na kujirekodi na kuzisambaza katika group ya wafanyakazi wa kata ya Boma. Taarifa zinaeleza kuwa alijirekodi alipokwenda kusimamia usafi shuleni hapo. Aidha amefanya hivyo kwa kutafuta sifa au kuchafua uongozi wa shule hiyo.
Kama lengo lake ni kufanya usafi Kuna sababu gani kusambaza picha hizo. Idhini ya kufanya hivyo kapewa na nani?
Sheria ya elimu zinasemaje juu ya kusambaza taarifa za shule au taasisi nyingine za serikali. Hii haiwezi kuleta taharuki kwa wazazi juu ya usalama wa afya za watoto wao?