Marekani wako very "calculated" mwaka huu wa uchaguzi. Serikali ya CCM kuweni makini

Nimetoka kuongea na rafiki yangu anafanya ubalozi wa marekani hapa nchini ananiambia huu mwaka wa uchaguzi tuombe Mungu maana " mabeberu " wametupania hasa kuhakikisha uchaguzi mkuu wa mwezi oktoba unakuwa huru na uwazi .

Wanataka kuhakikisha vyama vyote vya siasa vinapata uwanja sawa wa kushiriki kampeni za uchaguzi na zoezi zima la upigaji kura na utangazaji wa matokeo.

Sasa nimejiuliza tuu binafsi kwa figisu figisu ambazo chama tawala CCM wamezoea kucheza kwenye uchaguzi kweli tutapona.

Nimeambiwa hata baadhi ya matamko yanayotolewa na serikali ya marekani siyo wanabahatisha ni kwamba tayari "move" imeanza ili kutafuta sababu za kuweza kutunyoosha.

Sasa lengo la mimi kuandika hapa ni kuitahadharisha serikali ya CCM chonde chonde msije mkatuingiza kwenye machafuko.
Kama ni kweli basi Mungu awabariki sana marekani
 
Machafuko?,una akili kweli wewe?
Nimetoka kuongea na rafiki yangu anafanya ubalozi wa marekani hapa nchini ananiambia huu mwaka wa uchaguzi tuombe Mungu maana " mabeberu " wametupania hasa kuhakikisha uchaguzi mkuu wa mwezi oktoba unakuwa huru na uwazi .

Wanataka kuhakikisha vyama vyote vya siasa vinapata uwanja sawa wa kushiriki kampeni za uchaguzi na zoezi zima la upigaji kura na utangazaji wa matokeo.

Sasa nimejiuliza tuu binafsi kwa figisu figisu ambazo chama tawala CCM wamezoea kucheza kwenye uchaguzi kweli tutapona.

Nimeambiwa hata baadhi ya matamko yanayotolewa na serikali ya marekani siyo wanabahatisha ni kwamba tayari "move" imeanza ili kutafuta sababu za kuweza kutunyoosha.

Sasa lengo la mimi kuandika hapa ni kuitahadharisha serikali ya CCM chonde chonde msije mkatuingiza kwenye machafuko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetoka kuongea na rafiki yangu anafanya ubalozi wa marekani hapa nchini ananiambia huu mwaka wa uchaguzi tuombe Mungu maana " mabeberu " wametupania hasa kuhakikisha uchaguzi mkuu wa mwezi oktoba unakuwa huru na uwazi .

Wanataka kuhakikisha vyama vyote vya siasa vinapata uwanja sawa wa kushiriki kampeni za uchaguzi na zoezi zima la upigaji kura na utangazaji wa matokeo.

Sasa nimejiuliza tuu binafsi kwa figisu figisu ambazo chama tawala CCM wamezoea kucheza kwenye uchaguzi kweli tutapona.

Nimeambiwa hata baadhi ya matamko yanayotolewa na serikali ya marekani siyo wanabahatisha ni kwamba tayari "move" imeanza ili kutafuta sababu za kuweza kutunyoosha.

Sasa lengo la mimi kuandika hapa ni kuitahadharisha serikali ya CCM chonde chonde msije mkatuingiza kwenye machafuko.
TBC FM, TBC 1&2,Channel ten, uhuru magazine, mzalendo,clouds,wasafi,star tv, zbc, uhuru fm vyombo vyote hivi vya habari ni mali himaya ya CCM.
Upinzani utapata wapi voverage/?
maneno tuuu.
 
Wazungu hawana shida na uchaguzi wenu.tatizo lipo kwenye maslahi yao.watapitia kwenye mgongo wa kuimarisha demokrasia ili kufikia malengo yao.sijui Kama nimeeleweka mada yangu
Demokrasia kwao ni kichaka cha kuficha ushenzi wao.

Saudi hawana demokrasia kuwalinganisha na Iran lakini Suleimani kauwawa kinyama wakati mtoto wa mfalme wa Saudi ambaye ni muuaji anadunda akiwa huru.
 
Tanzania rais huchaguliwa na watu wachache zaidi pale Dodoma, ndio maana Magufuli alipopitishwa pale Dodoma alipewa ulinzi pale pale kuanzia yeye hadi kwake Chato mbuzi na kondoo
Wamarekani wasiwe na wasiwasi , tutawaonesha demokrasia Safi ambayo hata kwao hamnà. Unaitaje uchaguzi wa Marekani wa kidemokrasia ilhali Rais anapendekezwa na watu wachache sana?

Ingekuwa mfumo wa Marekani upo Tanzania nakuhahakishia vyama vya upinzani visingewaza kuitoa CCM lakini kwa kuwa uchaguzi wa Tanzania ni huru na wa haki vyama vinaamini vinaweza kuitoa CCM huku wakijua haiwezekani.

Waambie hao wamarekani watanzania Wameshachagua Rais wao naye ni Dkt. Magufuli mengine ni blabla tu za kusaka umaarufu wa wapinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila
Wamarekani ni takataka tu,tangu aingie trump hakuna Nchi inayoendeshwa kimabavu kama Marekani.Sasa nakutuma kamueleze huyo aliyekutuma watanzania wa sasa sio wale waliokuwa watumwa mwanzotunajitambua sana, watuachie uchaguzi wetu kama na sisi ambavyo atuwaingilii chaguzi zao.
Ila kweli, kwa watanzania wa sasa ingekuwa hata generation ya akina nyerere iko hivi basi hii nchi hata huo Uhuru tungeusikia kwa majirani tu.Watu waoga kama nini jamani!!.
 
Tatizo kubwa hapa Tanzania ni viini macho, sasa hao USA wanaweza kupambana na viini macho??

CCM wanaweza kufanya uchaguzi ukawa huru na haki kwa macho ya kawaida ya hao USA n mabeberu, ila huko gizani kusikoonekana wakafanya yao vizuri kabisa.

CCM wanaweza kuleta hata majini kupiga kura, na ukashangaa wagombea wote wa upinzani kuanzia CDM na ACT wakamuunga mkono mgombea wao... Ukweli ni kwamba hata hao USA waje na drones hapa michezo ya kichawi ya CCM hawawezi kuiona..
 
Nimetoka kuongea na rafiki yangu anafanya ubalozi wa marekani hapa nchini ananiambia huu mwaka wa uchaguzi tuombe Mungu maana " mabeberu " wametupania hasa kuhakikisha uchaguzi mkuu wa mwezi oktoba unakuwa huru na uwazi .

Wanataka kuhakikisha vyama vyote vya siasa vinapata uwanja sawa wa kushiriki kampeni za uchaguzi na zoezi zima la upigaji kura na utangazaji wa matokeo.

Sasa nimejiuliza tuu binafsi kwa figisu figisu ambazo chama tawala CCM wamezoea kucheza kwenye uchaguzi kweli tutapona.

Nimeambiwa hata baadhi ya matamko yanayotolewa na serikali ya marekani siyo wanabahatisha ni kwamba tayari "move" imeanza ili kutafuta sababu za kuweza kutunyoosha.

Sasa lengo la mimi kuandika hapa ni kuitahadharisha serikali ya CCM chonde chonde msije mkatuingiza kwenye machafuko.
Watakuwa wanaunga mkono ahadi ya Rais kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa uwazi na kuwakaribisha waangalizi wa ndani na nje ya nchi.
 
Mbona miaka yote hivi vyombo vipo lakini CCM inapambana na upinzani kwa kutumia nguvu ya dola kwenye kila uchaguzi?
TBC FM, TBC 1&2,Channel ten, uhuru magazine, mzalendo,clouds,wasafi,star tv, zbc, uhuru fm vyombo vyote hivi vya habari ni mali himaya ya CCM.
Upinzani utapata wapi voverage/?
maneno tuuu.
 
Back
Top Bottom