Marekani: Umaarufu wa Biden washuka baada ya Mji wa Kabul kutekwa na Taliban

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,501
9,280
Umaarufu wa rais wa Marekani Joe Biden umepungua kwa asilimia saba na kufikia kiwango chake cha chini baada ya Taliban kuchukua udhibiti wa Afghanistan, kulingana na uchunguzi wa Shirika la Habari la Reuters / Ipsos.

Baada ya mahojiano yaliyofanywa na raia kadhaa wa Marekani siku ya Jumatatu, uchunguzi unaonyesha kuwa Wamarekani 46% tu ndio wanampenda rais wao, kiwango cha chini kabisa tangu Joe Biden aingie madarakani mwezi Januari mwaka huu.

Umaarufu wa Joe Biden umepungua wakati Taliban iliteka mji mkuu mkuu wa Afghanistan, Kabul, na kufuta miongo miwili ya uwepo wa jeshi la Marekani nchini humo.

Hata hivyo hivi karibuni Joe Biden alitetea maamuzi yake na kusema kuwa hajutii maamuzi ya kuwoandoa wanajeshi wa taifa hilo nchini Afghanistan.

Joe Biden amekuwa akikosolewa ndani na nje ya chama chake cha Democratic kufuatia uamuzi wake wa haraka wa kuwaondoa wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan.
 
Biden hakuwahi kuwa maarufu zaidi ya kupitia mashindano makubwa. Kumbe katika utaratibu uliokuwepo, kuwandoa wanajeshi ilikuwa ni lazima kwa kukwa kule si kwao na hviyo wasingeishi milele. Lakini katika kuaondoa, America na Jumuiya ya kimataifa, ilitakiwa iwe iemona nini kinakuja kama hapatakuwa na structure imara ya serikali.

Sehemu iliyoachwa na ambayo imetumika kama mlango ni udhaifu ni National Reconciliation ili lpande mbili zisaidiwe kufikia makubaliano ya utawala jumuishi. Treaty ambayo ingeoutline consensus procedures rafiki za kufanya kila upande uone uko nyumbani na si genge moja kutawala kimabavu, bila kujumlisha maslahi ya waliowengi ambao hawana nguvu ya bunduki.

Ninavyofahamu mimi kwa waarabu hakunaga amani. Subirini msikie yatakayoendelea nyuma ya Camera.
 
Badala ya kuwalaumu Marekani kwa shida za Afghanistan ni wakati muafaka tuanze kuwalaumu wa-Taliban kwa kusababisha matatizo ya wa-Afghanistan wenzao
 
Tatizo Marekani ni watu kuhitaji “perfection” kwa viongozi wao bila kujali mazingira halisi. Hata Taliban wenyewe wameshangaa jinsi walivyochukua nchi kwa kasi kihivyo.

Ukweli ni kuwa Marekani ilijidanganya kuhusu Afghanistan. Walichofanya kwa miaka 20 ni kusimika na kulea kwa matrilioni ya dola serikali dhaifu isiyo na uzalendo wala uelewano na wananchi. Serikali iliyojaa ufisadi. Jeshi lilishehenezwa vifaa na pesa lakini halikuwa na morali kupigania nchi.

Biden was right. Hata wangeondoka lini nchi ingeanguka tu. Ni bahati mbaya tu kwamba spidi ya kuanguka ilikuwa kubwa sana na panick kubwa ilitawala nchini. Sasa wametulia na Taliban wameacha mambo yaende taratibu. Hakuna vita. Wanaoondoka wanaondoka; wanaobaki wanaendelea kama ilivyokuwa. Mabadiliko yataanza kuonekana baadaye Taliban wakiunda serikali yao na kuanza kazi.

Ni mapema sana kutoa hukumu sahihi. Lakini ndio uzuri wa US. Wanawabana sana viongozi wao. They have to perform at high standards. Sasa hivi jumba bovu linamuangukia Biden. Ndiye aliye madarakani. Na lazima awajibike kwa kosa la miongo miwili na maRais wanne yeye akiwemo.
 
swali ni nani anawauzia silaha hao mgambo
Silaha nyingi na kali walizo nazo ni zile zilzioachwa nyuma na jeshi la afghansinai lilifundishwa na Marekani na kuepwa silaha. Baada ya Marekani kusema inaiondoka, jamaa wale wakakimbia kambi zao na kuacha armory zao wazi kwa Taliban kujiokotea silaha zote zile. Kwa vile sasa hivi Taliban wana silaha hizo za Kimarekani, itakuwa ni vigumu sana kwa Marekani kupambana nao ardhini ana kwa ana bila marekani kutumia silaha zenye kuweza kuuwa raia wengi wasiokuwa na hatia, jambo linalo-complicate situation ya Marekani katika mazingira haya.

Kwa kweli Biden ameni-dissappoint sana kiasi kuwa nimeanza kuamini kuwa umri wake haumuruhusu kuwa rais wa nchi kama Marekani ambayo maaumzi ya rais yanahusu dunia nzima. Alikurupuka sana kwenye uamuzi huu bila kufanya maandalizi yoyote, hasa kwa sababu bado ana uchungu kuwa mtoto wake mmoja aliuawa kwenye vita ya aina hiyo huko Iraki. Akiwa rais hatakiwi kuangalia interests, revenges au prejudices zozote za familia yake. Bush alipeleka nchi vitani Iraki kwa sabau Sadam alitaka kumwua baba yake, Biden ameondoa majeshi kutoka Afghanstani kwa kukurupka kwa sababu mtoto wake aliuwawa vitani.

Angeanza kwa kuhamisha wamarekani wote na wafuasi wao kabla ya kuondoa majeshi; lakini mzee wa watu alikurupuka sana.

Alikurupuka sana

Alikurupuka
 
Biden hakuwahi kuwa maarufu zaidi ya kupitia mashindano makubwa. Kumbe katika utaratibu uliokuwepo, kuwandoa wanajeshi ilikuwa ni lazima kwa kukwa kule si kwao na hviyo wasingeishi milele. Lakini katika kuaondoa, America na Jumuiya ya kimataifa, ilitakiwa iwe iemona nini kinakuja kama hapatakuwa na structure imara ya serikali.

Sehemu iliyoachwa na ambayo imetumika kama mlango ni udhaifu ni National Reconciliation ili lpande mbili zisaidiwe kufikia makubaliano ya utawala jumuishi. Treaty ambayo ingeoutline consensus procedures rafiki za kufanya kila upande uone uko nyumbani na si genge moja kutawala kimabavu, bila kujumlisha maslahi ya waliowengi ambao hawana nguvu ya bunduki.

Ninavyofahamu mimi kwa waarabu hakunaga amani. Subirini msikie yatakayoendelea nyuma ya Camera.

Tangu lini afghanistani wakawa waarabu!

Halafu, afghanistan iko chini ya tawala ya serikali kuu ya Taleban,,,na inchi itaongozwa kwa sharia za dini, na sio kibeberu beberu na kinguruwe nguruwe. Haki itapatikana, amani itatawala, dhulma itatoweka.
 
Biden hakuwahi kuwa maarufu zaidi ya kupitia mashindano makubwa. Kumbe katika utaratibu uliokuwepo, kuwandoa wanajeshi ilikuwa ni lazima kwa kukwa kule si kwao na hviyo wasingeishi milele. Lakini katika kuaondoa, America na Jumuiya ya kimataifa, ilitakiwa iwe iemona nini kinakuja kama hapatakuwa na structure imara ya serikali.

Sehemu iliyoachwa na ambayo imetumika kama mlango ni udhaifu ni National Reconciliation ili lpande mbili zisaidiwe kufikia makubaliano ya utawala jumuishi. Treaty ambayo ingeoutline consensus procedures rafiki za kufanya kila upande uone uko nyumbani na si genge moja kutawala kimabavu, bila kujumlisha maslahi ya waliowengi ambao hawana nguvu ya bunduki.

Ninavyofahamu mimi kwa waarabu hakunaga amani. Subirini msikie yatakayoendelea nyuma ya Camera.
Hizo Shule mlienda kusomea ujinga?

Afghanistan sio waarabu.
 
Silaha nyingi na kali walizo nazo ni zile zilzioachwa nyuma na jeshi la afghansinai lilifundishwa na Marekani na kuepwa silaha. Baada ya Marekani kusema inaiondoka, jamaa wale wakakimbia kambi zao na kuacha armory zao wazi kwa Taliban kujiokotea silaha zote zile. Kwa vile sasa hivi Taliban wana silaha hizo za Kimarekani, itakuwa ni vigumu sana kwa Marekani kupambana nao ardhini ana kwa ana bila marekani kutumia silaha zenye kuweza kuuwa raia wengi wasiokuwa na hatia, jambo linalo-complicate situation ya Marekani katika mazingira haya.

Kwa kweli Biden ameni-dissappoint sana kiasi kuwa nimeanza kuamini kuwa umri wake haumuruhusu kuwa rais wa nchi kama Marekani ambayo maaumzi ya rais yanahusu dunia nzima. Alikurupuka sana kwenye uamuzi huu bila kufanya maandalizi yoyote, hasa kwa sababu bado ana uchungu kuwa mtoto wake mmoja aliuawa kwenye vita ya aina hiyo huko Iraki. Akiwa rais hatakiwi kuangalia interests, revenges au prejudices zozote za familia yake. Bush alipeleka nchi vitani Iraki kwa sabau Sadam alitaka kumwua baba yake, Biden ameondoa majeshi kutoka Afghanstani kwa kukurupka kwa sababu mtoto wake aliuwawa vitani.

Angeanza kwa kuhamisha wamarekani wote na wafuasi wao kabla ya kuondoa majeshi; lakini mzee wa watu alikurupuka sana.

Alikurupuka sana

Alikurupuka

Nimempenda sana biden, anaakili nyingi. Kaona asepezake asije sababisha majeshi yake yauawe dhidi ya makomandoo na watu wenye nia nzuri na kuleta mabsdiliko na amani nchini mwao (wa taleban) Big up Taleban soldiers na serikali kwa ujumula.
 
Back
Top Bottom