Marekani: Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho

Kaka Pekee

JF-Expert Member
Apr 3, 2018
336
559
8FF7AB1B-1055-435A-B448-6AABC232F421.jpeg

Katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari leo jijini dodoma...Kaimu balozi wa Marekani ametoa tamko la Serikali ya Marekani juu ya Hali ilivyo kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini kwa kumpiga kijembe waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi kwa kusema
"Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho yanayodai kuwa kuna Uhuru huo, bali ni kwa kutoa ripoti na Tafiti pamoja na habari za kuaminika.

Ikumbukwe kwamba wiki hii waziri kabudi alitembelewa na ujumbe wa marekani ofisini kwake na katika kuthibitisha kuwa kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini, alitoa rundo la magazeti (Kama inavyoonekana pichani ) na kuwaonyesha akidai vyombo hivyo vina uhuru.

Swali ni je walikusanya na magazeti waliyoyafungia kwa kuandika habari nyeti za kumkosoa jiwe na serikali yake?....Je walihusisha pia magazeti yenye ripoti za kutoweka kwa waandishi kama Azory Gwanda?!
64E6DDCD-17CE-4690-9C63-F6E5D5D61375.jpeg
 

Attachments

  • 2C832225-4BD7-439B-AD31-21098FE0A51B.jpeg
    2C832225-4BD7-439B-AD31-21098FE0A51B.jpeg
    44.8 KB · Views: 39
Ha ha haaa, kwahiyo ukitaka kuthibitisha uhuru wa habari unatoa nakala za magazeti yaonekanayo.
Je, kama magazeti ni ya mlengo mmoja? Bado itakuwa uhuru wa habari?

Mi nadhani hatuangalii wingi wa vyombo vya habari lakini ni kwa wigo gani media zinapewa fursa sawa ya kuhoji, kuchunguza na kuhabarisha uma pasipo vikwazo au matishio kwa wanahabari na vyombo hivyo.
 
Ha ha haaa, kwahiyo ukitaka kuthibitisha uhuru wa habari unatoa nakala za magazeti yaonekanayo.
Je, kama magazeti ni ya mlengo mmoja? Bado itakuwa uhuru wa habari?

Mi nadhani hatuangalii wingi wa vyombo vya habari lakini ni kwa wigo gani media zinapewa fursa sawa ya kuhoji, kuchunguza na kuhabarisha uma pasipo vikwazo au matishio kwa wanahabari na vyombo hivyo.
Tehe tehe tehe Bila shaka hapo alimtolea na nakala kibao za Gazeti la Tanza-Naiti
 
Mambo ni magumu
Hivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha
 
Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha
CCM kuna watu na viatu! sijui we uko wapi?
 
Hivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha

Keshokutwa US wakitangaza kuipa serikali ya jiwe Shilingi 2B utakuja na post ya kuwashangilia.

Asante sana Bwana Yesu kwa kunipa akili na uwezo wa kuitumia; vinginevyo ningekuwa ccm.
 
Back
Top Bottom