Marekani: Trump ashtakiwa kwa Ubakaji chini ya Sheria mpya ya Unyanyasaji wa Kingono

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,026
1,622
Mwandishi E Jean Carroll amemshtaki Rais wa Zamani, Donald Trump kwa madai ya kumbaka katika Miaka ya 1990, pia ameshtaki kwa kumkashifu baada ya kumshutumu kwa kusema uwongo alipojitokeza kuhusu madai hayo

Bi Carroll anadai kuwa tukio hilo lilitokea katika chumba cha kuvalia nguo katika duka la kifahari Jijini New York miaka 27 iliyopita, ingawa hadi sasa #Trump amekana madai hayo dhidi yake

Aidha, Sheria hiyo mpya ya Waathirika Watu Wazima ambayo ilianza kutumika rasmi Novemba 24, 2022 inaruhusu waathiriwa kujitokeza ikiwa unyanyasaji wa kijinsia ulitokea walipokuwa na umri wa zaidi ya miaka 18 na ulifanyika kwa tarehe ambayo inazidi mipaka ya muda ambayo ipo kwa uhalifu mwingi
.......

Writer E Jean Carroll has also sued Donald Trump for defamation after he accused her of lying when she came forward about the alleged assault.

Writer E Jean Carroll has sued Donald Trump in the US state of New York for allegedly raping her in the 1990s.
Ms Carroll is among the first to sue under the Adult Survivors Act, which came into effect on Thursday.

The state law allows a one-year period for victims to file sexual assault lawsuits in New York over claims that would have otherwise exceeded statute limitations.
The former president has denied the allegations against him.

Ms Carroll alleges the attack took place in a New York luxury department store dressing room 27 years ago.

The Adult Survivors Act allows victims to come forward if the sexual assault occurred when they were over the age of 18 and took place on a date that exceeds time limits that exists on most felonies.

It is modelled after the state's recent Child Abuse Act, which applied to victims who were abused as minors.

Source: BBC
 
Trump alitajwa kuwa rafiki wa yule jamaa aliyejiua gerezan jaffery Epstein, ambaye yuko connected na price Adrew kwenye hizi kashfa.

Seems Trump anejaa makandokando.

Stay tuned ntawapabdishia hii story
 
Mwandishi E Jean Carroll amemshtaki Rais wa Zamani, Donald Trump kwa madai ya kumbaka katika Miaka ya 1990, pia ameshtaki kwa kumkashifu baada ya kumshutumu kwa kusema uwongo alipojitokeza kuhusu madai hayo

Bi Carroll anadai kuwa tukio hilo lilitokea katika chumba cha kuvalia nguo katika duka la kifahari Jijini New York miaka 27 iliyopita, ingawa hadi sasa #Trump amekana madai hayo dhidi yake

Aidha, Sheria hiyo mpya ya Waathirika Watu Wazima ambayo ilianza kutumika rasmi Novemba 24, 2022 inaruhusu waathiriwa kujitokeza ikiwa unyanyasaji wa kijinsia ulitokea walipokuwa na umri wa zaidi ya miaka 18 na ulifanyika kwa tarehe ambayo inazidi mipaka ya muda ambayo ipo kwa uhalifu mwingi
.......

Writer E Jean Carroll has also sued Donald Trump for defamation after he accused her of lying when she came forward about the alleged assault.

Writer E Jean Carroll has sued Donald Trump in the US state of New York for allegedly raping her in the 1990s.
Ms Carroll is among the first to sue under the Adult Survivors Act, which came into effect on Thursday.

The state law allows a one-year period for victims to file sexual assault lawsuits in New York over claims that would have otherwise exceeded statute limitations.
The former president has denied the allegations against him.

Ms Carroll alleges the attack took place in a New York luxury department store dressing room 27 years ago.

The Adult Survivors Act allows victims to come forward if the sexual assault occurred when they were over the age of 18 and took place on a date that exceeds time limits that exists on most felonies.

It is modelled after the state's recent Child Abuse Act, which applied to victims who were abused as minors.

Source: BBC

Duu, kumbe Trump Siyo mtu wa mchezo mchezo.

1669357906000.png
 
Trump alitajwa kuwa rafiki wa yule jamaa aliyejiua gerezan jaffery Epstein, ambaye yuko connected na price Adrew kwenye hizi kashfa.

Seems Trump anejaa makandokando.

Stay tuned ntawapabdishia hii story
Baada ya Trump kutangaza nia ya kuwania Urais ndio tuhuma zimeibuka....siasa tu hizi
 
Mwandishi E Jean Carroll amemshtaki Rais wa Zamani, Donald Trump kwa madai ya kumbaka katika Miaka ya 1990, pia ameshtaki kwa kumkashifu baada ya kumshutumu kwa kusema uwongo alipojitokeza kuhusu madai hayo

Bi Carroll anadai kuwa tukio hilo lilitokea katika chumba cha kuvalia nguo katika duka la kifahari Jijini New York miaka 27 iliyopita, ingawa hadi sasa #Trump amekana madai hayo dhidi yake

Aidha, Sheria hiyo mpya ya Waathirika Watu Wazima ambayo ilianza kutumika rasmi Novemba 24, 2022 inaruhusu waathiriwa kujitokeza ikiwa unyanyasaji wa kijinsia ulitokea walipokuwa na umri wa zaidi ya miaka 18 na ulifanyika kwa tarehe ambayo inazidi mipaka ya muda ambayo ipo kwa uhalifu mwingi
.......

Writer E Jean Carroll has also sued Donald Trump for defamation after he accused her of lying when she came forward about the alleged assault.

Writer E Jean Carroll has sued Donald Trump in the US state of New York for allegedly raping her in the 1990s.
Ms Carroll is among the first to sue under the Adult Survivors Act, which came into effect on Thursday.

The state law allows a one-year period for victims to file sexual assault lawsuits in New York over claims that would have otherwise exceeded statute limitations.
The former president has denied the allegations against him.

Ms Carroll alleges the attack took place in a New York luxury department store dressing room 27 years ago.

The Adult Survivors Act allows victims to come forward if the sexual assault occurred when they were over the age of 18 and took place on a date that exceeds time limits that exists on most felonies.

It is modelled after the state's recent Child Abuse Act, which applied to victims who were abused as minors.

Source: BBC

 
Back
Top Bottom