Ukiangalia tech yake Kama Google, FB, watsapp, Tweeter, YouTube, Amazon, master card, khaa uyu jamaa nomaNami nimejiuliza swali kama hilo kwa ufupi nikagundua Marekani anapata sana hela zake kwa Mauzo ya Silaha na Teknolojia Nahisi karibia nchi zote za NATO jamaa ndio anasupply Vifaa vya kijeshi na baadhi ya nchi za kiarabu Saudia Arabia, UAE, etc
Na pia ana matajiri wakubwa so wanalipa kodi kubwa sana, pia ana export magari tena ya kifahari.
Pia ana hazina ya kila kitu, Dhahabu, Shaba, Almasi, Vifo vingi vya thamani, mafuta, Gas etc
Ndo maana Trump alikuwa anaeapiga spana wananyweaSema imewasaidia sana nchi za Ulaya Magharibi isingekua huu mpango nchi nyingi zingekua Maskini sana angalia nchi kama Ujerumani iliharibiwa sana na Vita ila USA akamsaidia sana kumwinua hasa kwa kuwekeza kwenye Viwanda Vizito mpaka leo Ujerumani imesimama tena.
Afu mrusi anajitutumua na RubblePesa imezunguka miaka mingi kimkakati, si ya leo.
Imeanza tangu enzi za utumwa. Watu wamepata free labor kwa mamia ya miaka.
Halafu wameushika uchumi wa dunia kuanzia tech, culture, financial markets mpaka hela ya biashara ya dunia (US dollar) wanachapisha wenyewe.
Ukiona watu wanavyobwabwaja eti Kiduku Hadi nachekaAlaf kuna mtu anataka et marekani akapigane na Kim jong mnyoa viduku , mara sjui India , hii nchi mnaikosea adabu Sana ....!!! Hawa jamaa ndo super power aka kiranja wa Dunia ...Urusi ndo anaishilia hvyo R.I.P..mwaka kesho niataenda beach za Miami then naingia zangu visiwa vya Hawaii[emoji3].... Tukiacha na yote hata Mungu kuna kitu kawaongezea siyo bure
Acha uongoPamoja na pesa zao bado awaifikii tanzania hata robo tu kwenye jumla ya thamani ya raslimali tele zilizopo
Sawa kabisaKwa akili zangu za kawaida siyo za mchumi, Marekani ni wazalishaji wakubwa wa bidhaa za viwandani na teknolojia ya hali ya juu.
Wanauza teknolojia karibu kila kona ya dunia.
Maendeleo ya sayansi ndiyo mkombozi.
Sera zao za mambo ya nje ingawa ni za ubabe na kuburuza wengine zinawapatia nguvu kubwa za kiuchumi.
swali zuri
Fanya tafiti, kwenye miti wajenzi sifuriAcha uongo
Urusi vipi?Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.
Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa marekani.
Hawa marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.
Swali marekani pesa zote anazitoa wapiView attachment 2168456
Huo upaja jamaniNasoma comments
Sasa si ndiyo anasoma ramani kujua mafanikio yanapatikanaje, au?Ni sawa na kuuliza jiran yako aliyekuzid anatoa wap pesa..
Tafuta hela mkuu
Ndiyo nini??Ngombe