Marekani: Maafisa wa Federal Agents Wavunja Gari na Kumvuta Mwanamke Mlemavu kwa Nguvu na Kumtia Mbaroni

Marekani: Maafisa wa Federal Agents Wavunja Gari na Kumvuta Mwanamke Mlemavu kwa Nguvu na Kumtia Mbaroni

Bawabu wa pili

Senior Member
Joined
Nov 14, 2025
Posts
147
Reaction score
432
Video hii inaonesha maafisa wa shirikisho wa Marekani (federal agents) wakimvuta mwanamke kutoka kwenye gari lake kwa nguvu huko Minneapolis, huku mwanamke huyo akipaza sauti akisema kuwa ni mwenye ulemavu, wakati wakimtia mbaroni. Tukio hilo limetokea umbali wa mabawa machache tu kutoka pale ambapo Renee Nicole Good aliuawa kwa risasi na afisa wa ICE mapema mwezi huu.

Soma pia: Trump amkingia kifua afisa uhamiaji aliyempiga mwanamke risasi hadi kumuua


Katika video hii iliyosambaa mitandaoni, maafisa waliovaa mashati na barakoa waliibuka wakizunguka gari la mwanamke huyo, wakivunja dirisha, kukata mkanda wake wa usalama na kumvuta hadi ardhini licha ya malalamiko yake ya ulemavu. Afisa huyo pamoja na wengine walimkamata na kumpeleka kituo cha kukaa watuhumiwa. Huduma ya Ulinzi wa Ndani ya Marekani ilijibu, ikisema kuwa mwanamke alikuwa akizuia operesheni ya ICE na hivyo ilihitajika kumzuia, ingawa mawakili wake wanasema alikuwa njiani kwa miadi ya matibabu.

1768665568523.png


Tukio hili limeibua hasira na mashaka juu ya mbinu za maafisa wa uhamiaji, hasa kufuatia kifo cha Good, na limezua mjadala mkubwa kuhusu matumizi ya nguvu na heshima kwa haki za watu katika mchakato wa utekelezaji wa sheria.

------------------


A woman was pulled out of her car by U.S. Immigration and Customs Enforcement agents on Tuesday in Minneapolis for allegedly impeding an ICE operation.

Footage captured of the interaction shows the woman positioned in her car across lanes of traffic, apparently blocking ICE vehicles from driving through during an anti-ICE protest following the death of Renee Nicole Good, who was fatally shot by an ICE agent last week. It’s unclear if the woman was blocking the cars intentionally.

In the video, several masked ICE agents speak to the woman before an Enforcement and Removal Operations (ERO) agent can be seen smashing the passenger-side window of her vehicle. Agents then grab the unidentified woman using the driver’s side window, and pull her onto the ground.​
 
Manyumbu si ndio role model wao hawo?The land of the free.Na Rais wao anayedai wanataka kuichukua Greenland ili Russia wasiiwahi.Kwani hataki wawe na mpaka na Russia.
Huyu senile hajui kwamba Marekani inapakana na Russia walipoinunua Alaska.
 
Video hii inaonesha maafisa wa shirikisho wa Marekani (federal agents) wakimvuta mwanamke kutoka kwenye gari lake kwa nguvu huko Minneapolis, huku mwanamke huyo akipaza sauti akisema kuwa ni mwenye ulemavu, wakati wakimtia mbaroni. Tukio hilo limetokea umbali wa mabawa machache tu kutoka pale ambapo Renee Nicole Good aliuawa kwa risasi na afisa wa ICE mapema mwezi huu.

Soma pia: Trump amkingia kifua afisa uhamiaji aliyempiga mwanamke risasi hadi kumuua
View attachment 3531192

Katika video hii iliyosambaa mitandaoni, maafisa waliovaa mashati na barakoa waliibuka wakizunguka gari la mwanamke huyo, wakivunja dirisha, kukata mkanda wake wa usalama na kumvuta hadi ardhini licha ya malalamiko yake ya ulemavu. Afisa huyo pamoja na wengine walimkamata na kumpeleka kituo cha kukaa watuhumiwa. Huduma ya Ulinzi wa Ndani ya Marekani ilijibu, ikisema kuwa mwanamke alikuwa akizuia operesheni ya ICE na hivyo ilihitajika kumzuia, ingawa mawakili wake wanasema alikuwa njiani kwa miadi ya matibabu.

View attachment 3531194

Tukio hili limeibua hasira na mashaka juu ya mbinu za maafisa wa uhamiaji, hasa kufuatia kifo cha Good, na limezua mjadala mkubwa kuhusu matumizi ya nguvu na heshima kwa haki za watu katika mchakato wa utekelezaji wa sheria.

------------------


A woman was pulled out of her car by U.S. Immigration and Customs Enforcement agents on Tuesday in Minneapolis for allegedly impeding an ICE operation.

Footage captured of the interaction shows the woman positioned in her car across lanes of traffic, apparently blocking ICE vehicles from driving through during an anti-ICE protest following the death of Renee Nicole Good, who was fatally shot by an ICE agent last week. It’s unclear if the woman was blocking the cars intentionally.

In the video, several masked ICE agents speak to the woman before an Enforcement and Removal Operations (ERO) agent can be seen smashing the passenger-side window of her vehicle. Agents then grab the unidentified woman using the driver’s side window, and pull her onto the ground.​
ELI COHEN
Imeloa.
Waabudu USA hutawaona kwenye mada kama hizi.
Wao wanajihusisha na mada ambazo zinawafurahisha na kuwapofusha kimahaba.
Raia wanaandamana huko Minnesota ila husikii watu wakilizungumzia.
Suala la yule dada Reene kupigwa risasi hilo hawalizungumzii pia.
Huyu Trump soon watamfanyia impeachment.
 
US sasa inabidi kutembea na documents zote zinazoonyesha uraia na ukazi wako maana unaweza kudabuliwa wakati wo wote ukajikuta kwenye ndege ukirudishwa Mogadishu. Na ukileta za kuleta unakula chuma.

Trump anapambana Marekani isiharibiwe na wahamiaji kama Ulaya ilivyoharibiwa. Ndiyo maana anapendwa sana na wazungu wenzie!
 
ELI COHEN
Imeloa.
Waabudu USA hutawaona kwenye mada kama hizi.
Wao wanajihusisha na mada ambazo zinawafurahisha na kuwapofusha kimahaba.
Raia wanaandamana huko Minnesota ila husikii watu wakilizungumzia.
Suala la yule dada Reene kupigwa risasi hilo hawalizungumzii pia.
Huyu Trump soon watamfanyia impeachment.
kwa trump hata hamna shida maana kule anaweza kuondoka muda wowote! Shida ni huku tanzagiza ambapo kiongozi wa juu kuondolewa ni kama kubadilisha chumvi iwe sukari!
 
US sasa inabidi kutembea na documents zote zinazoonyesha uraia na ukazi wako maana unaweza kudabuliwa wakati wo wote ukajikuta kwenye ndege ukirudishwa Mogadishu. Na ukileta za kuleta unakula chuma.

Trump anapambana Marekani isiharibiwe na wahamiaji kama Ulaya ilivyoharibiwa. Ndiyo maana anapendwa sana na wazungu wenz
Huko US demokrasia waliobaki nayo labda hiyo ya ushoga tu. Yaani askari wa vitengo mbalimbali Wana nguvu kutoka kwa Trump zaidi ya nguvu za kisheria zinazolinda utendaji kazi wao.
Ukizingua unapigwa chuma.
Ukizingua sometime unakula kichapo kikali afu fresh tu.
 
Watu wako kazini wewe unasema unaumwa ambulance hazipo
Ambulance ni kwaajili ya mgonjwa mahututi wa dharura.
Yule binti alikua anaenda kwenye appointment ya daktari ana autism.
Wacha kuongea UFALA.
Hilo halijaisha walirusha mabomu ya machozi kwenye nyumba ambayo kuna mama na mtoto wa miezi sita.
 
Watu wako kazini wewe unasema unaumwa ambulance hazipo
Ambulance ni kwaajili ya mgonjwa mahututi wa dharura.
Yule binti alikua anaenda kwenye appointment ya daktari ana autism.
Wacha kuongea UFALA.
Hilo halijaisha walirusha mabomu ya machozi kwenye nyumba ambayo kuna mama na mtoto wa miezi sita.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
kwa trump hata hamna shida maana kule anaweza kuondoka muda wowote! Shida ni huku tanzagiza ambapo kiongozi wa juu kuondolewa ni kama kubadilisha chumvi iwe sukari!
Tanzagiza taasisi nzima inatakiwa kubomolewa kuundwa mpya.
Ila hilo ni gumu kutokea labda damu imwagike tena sana.
 
Ambulance ni kwaajili ya mgonjwa mahututi wa dharura.
Yule binti alikua anaenda kwenye appointment ya daktari ana autism.
Wacha kuongea UFALA.
Hilo halijaisha walirusha mabomu ya machozi kwenye nyumba ambayo kuna mama na mtoto wa miezi sita.
Appointment ya daktari ndo ikufanye usikaguliwe acha ukilaza wewe ...... watu weusi mnavichwa mviringo sana
 
Appointment ya daktari ndo ikufanye usikaguliwe acha ukilaza wewe ...... watu weusi mnavichwa mviringo sana
We kweli ni fala!
Nani alikwambia yeye alikataliwa kukaguliwa?
Aliulizwa swali unaenda wapi akajibu kistaarabu naenda kwenye appointment ya daktari.
Punde si punde wakafungua mlango na kumvuta.
Unaongea nini wewe!?
WATU KAMA NYIE HUWA NAWA BLOCK MAANA MNAONGEA UPUUZI.
 
Bora uzinguane na Tanpol ila sio hao ICE agent, Hawacheki kabisa wakinusa harufu ya illegal immigrants
 
Bora uzinguane na Tanpol ila sio hao ICE agent, Hawacheki kabisa wakinusa harufu ya illegal immigrants
Nahisi wana matatizo ya kisaikolojia.
Wako violent kila muda.
Walimkamata kijana kiwandani pasi na kumhoji wakaanza kumpiga kijana anawaambia yeye raia baada ya kuwaonesha utambulisho wakamtupia kando ya barabara.
Utasema hao watu wana akili timamu!?
 
Hao ni majambaka

Dunia inapitia Hali mbaya Sana.

Je Tunaandaliwa wa tukio gani kubwa
 
Back
Top Bottom