Marekani lazima akae, vita hakuna tena

Marekani lazima akae, vita hakuna tena

27b81c376af5086802d9c2c5efabe5cc.jpg
Taarifa ya BBC Swahili ya leo (kama inavyoonekana pichani) imeandika habari za ki uchunguzi juu ya meli ambazo Trump amesema zinakwenda Korea kaskazini kushambulia na dunia ikatambua vita imeiva haswa ukizingatia ilisheheni makomando, madege pamoja na mabomu mazito ya masafa marefu na mafupi
6058553c2bf5ad734493f6d624eedb59.jpg
meli hiyo haikwenda huko bali ilikuwa ni vitisho tu.

Tujikumbushe; America ilishambulia sehemu tofauti duniani ili kumuathiri Kim kisaikolojia apate hofu na kukubali mazungumzo, hali itakayopelekea kuondolewa uwezo wa silaha za Nyuklia na kuangamiza vinu vyake.

Moja ya tisho kubwa ni Amerika kupiga bomu lake la kisasa kabisa na lenye jina la 'mama wa mabomu yote duniani' ambalo alipiga nchi nyingine kwa sababu nyingine lakini wachunguzi wa mambo walisema ile ni salam kwa Kim
a4ac2ece61b613ed609d9fd37560b6b6.jpg
Pia Us alishambulia Syria pamoja na Somalia na kote huko aliangamiza roho za watu.

Kitendo cha Kim kuimarika kijeshi haswa kwa silaha za nyuklia kinaiumiza kichwa sana Marekani kwa kile kinachoitwa kutishia usalama wake, ila Trump jambo hilo linamuumiza zaidi
2a4ac437d1f512521014cd59be1bf9eb.jpg
Pamoja na vitisho vyote Kim hakutishika kabisa na ndiyo kwanza amejipanga kivita na kusema atazidi kuyajaribu makombora yake mapya kila wiki
ae917f5d3acf81df5bcf2b5f6899890e.jpg
Hakuna vita tena na vitisho havikufanya kazi na sasa Amerika anaelekea kwengine
55803e1d8cf820736bcb143625adfcd7.jpg
a10a3d5e94a78ccee2871117fc6d4649.jpg
Kikwazo zaidi ni kwa kuwa Us hazijui vema silaha za North Korea kuhusu uwezo wake na hata namna ambavyo atazikabili, wanachojua ni kile Kim atakachokisema mwenyewe pale anapozindua kombora, zaidi ya hapo hawana taarifa zozote za kiuchunguzi japokuwa wanahisi anayo mabomu elfu moja ya yenye uwezo wa kufika bara lolote duniani ambayo yanaweza kufika moja kwa moja Marekani na kushambulia
ef6fe4cac4be48184df95644c2bdd0e6.jpg
Ndugu zangu, Us hapigani na nchi asiyoijua vema silaha zake na ndio maana anaremba tangu majuzi kuhofia usalama wake
166d3e4dcf7ebaf8a3593c4b3c7c6e38.jpg
Wangemkabili Kim miaka mingi iliyopita lakini sasa ameshapiga hatua wamechelewa, kitendo cha kuufyata ni ushindi na furaha kwa bwana mdogo
9c782bdc6db910d8eeb6a7646136c08b.jpg
Mapanki anacheka kwa dharau
 
Hats mini na familia yangu tunaishi kama North Korwa. Huwezi ukatusoma wala kutuelewa
 
Trump ni lazima ajue ni Korea kaskazini pekee ndio utakuwa na full access ya kuingia nchi mbili ambazo ni Russia na China nchi zote ndizo zenye mpaka na Korea Kaskazini so kitendo cha US kuingia North Korea na kuikalia kijeshi inamaana anakua anaichungulia Russia wakiwa wametenganishwa na mto tu na pia anakua anaichungulia China wakiwa wametenganishwa na mto tu

So kwa Russia ni ngumu sana kunywa vodka Moscow wakati adui anaweza kuingia Russia kwa kuogelea tu

Pia kwa China ni vigumu kunywa Xinjiang Black Beer Beijing huku adui anaweza kuingia China kwa kuogelea Marekani anatakiwa kujua ni Lazima Russia na China kushiriki vita hvyo kama vikitokea aidha kwa kificho au kwa wazi
Na sehemu pekee ya Russia na China kutest silaha zao mpya dhidi ya silaha za US ni kwenye vita hvyo kwani China na Russia wanatengeneza silaha kwa ajili ya kushindana na US sasa unapotengeneza kitu ni lazima ukifanyie test kwa mshindani wako ambae ni US
Niliwai kusema na narudia tena ni vyepesi sana US kurusha makombora Syria kuliko kurusha mshale North Korea au Iran kutokana na sababu za Geographical

Mchango ni mzuri sana lakini wenye kikomo ,pale ambapo sisi tunaishia ktk kulitazama jambo ndipo na wengine huanzia hapo kwenda mbele..Nnajua hili ulilo lisema Us wanalijua kabla ya kuamua.walichoamua mpaka sasa.

Huyo dogo ni hatari sana kuachwa hivi hivi kuendelea kumiliki silaha hatari Duniani hasa ukizingatia na Akili zake ..
 
Mpaka sasa dalili zinaonyesha Marekani kuweka mpira kwapani kwani msafara wa meli zqke unaiacha Korea na kwenda pasipo julikana kingine watu wanashindwa kujua Marekani anawaweza waarabu kwa vile waarabu na waafrica ni wanafiki si kwa jamii ya Mongolian races wao ni tofauti sana vita tu vya Vietnam marekani alikimbia kaja Mfaransa nae kakimbia eneo la Asia Pacific limekaa vibaya sana sasa angalia Japan anapeleka jeshi Korea kusini kwa kulinda raia wake Russia anapeleka majeshi China nae ameshapeleka wanajeshi mpakani na Korea hv hapo ujajua tu kuwa vita hv vitakuwa vita vibaya sana Uingereza nao watapeleka majeshi kulinda ndugu zao New Zealand na Australia

Marekani ni lazima arudi nyuma kwani vita hv vinakwenda kushusha uchumi wake leo Korea kaskazini hana cha kupoteza kama ilivyokuwa kwa Vietnam ndio maana unaona kiburi cha Kim wakati Trump akishinda kwenye mitandao ya Kijamii na kuchimba mikwara mbuzi Kim yeye anaendelea na nuclear program zake na kujaribu makombora yake
Una nondo za kutosha lakini ushauri tu, uwe unatumia punctuation marks.
 
Trump kaweka mpira kwapani kakimbia mapambano Meli zake zinatoka kwenye Korean peninsula na kwenda pasipo julikana ni wakati wa Korea kusini kukaa na ndugu yake kaskazini kuyamaliza sasa kama baunsa wake US anaweka mpira kwapani itakuwaje yeye! !
Hizo meli nyie mlio karibu nae, mwambieni tubadilishane na Mv Bagamoyo!
 
Putin huwa ni muongo sana aliwaambia waarabu....wenye dini yao hiyo wakithubutu kupiga ama kujitoa muhanga wa bom pale Russia....ndani ya masaa6 ...angeangamiza waislam wote duniani..
Na je umesikia hata gaidi mmoja kajitoa mhanga moscow?. Halafu hakusema ataangamiza wote duniani hapo umedanganya yeye alisema "KUWASAMEHE MAGAIDI NI KAZI YA MUNGU, LAKINI KUWAPELEKA KWAKE MUNGU NI KAZI YAKE"..
 
Kwanza kwe picha tatu zilizopo kwenye post yako... picha ya kwanza ni uongo. Hiyo ndege ipo kwenye series ya Agents of shields, na in reality it doesnt exist.
Hizo picha mbili za chini ndio za kweli.. ni makombora aina ya S300.
mkuu, pale agent may anaposema, "wheels up in 10"
 
Putin Atawadangany mpaka mwisho juzi tu kawalisha upupu Eti ana bomu la kuzamisha France na. UK ...sijuw Russia Nuks zake anatestia galaxy gani
unajuaje ni uongo? wafaham satan II aka F.O.A.B?
 
North Korea did not refer to the mix-up but said the United States and its allies "should not mess with us".

The Rodong Sinmun, the official newspaper of the North's ruling Workers' Party, did not mince its words.

"In the case of our super-mighty preemptive strike being launched, it will completely and immediately wipe out not only U.S. imperialists' invasion forces in South Korea and its surrounding areas but the U.S. mainland and reduce them to ashes," it said.

For a graphic on nuclear North Korea, click here
Sosi:Reuters
 
Mmarekan hata simuaminigi yule mm, Hii isije ikawa n trick, Ajifanye hana mpngo ili Mapank alegeze ili ashtukize
 
Mmarekan hata simuaminigi yule mm, Hii isije ikawa n trick, Ajifanye hana mpngo ili Mapank alegeze ili ashtukize
Mmarekani ni mwoga sana! Hakuna cha trick wala nini! Yeye hupenda kupiga lakini hayuko tayari kupata hata mchubuko!
Iraq alishinda lakini alipoteza mpaka sasa askari zaidi ya 2000! Hatakaa arudie uvamizi kama wa iraq, ilimuuma sana!
Hapo alikuwa anawategemea Korea kusini ndo wapigane ana kwa ana na Korea kaskazini! Yeye angelianzisha tokea majini halafu ardhini awaachie Korea kusini! Korea kusini huo mziki hauwezi!
Trump hakuamini kama huo mkwara wake mapank ataubeza! Ile kupiga Afaghanistan ilikuwa ni sehemu ya mkwara kwa korea kaskazini!
 
Back
Top Bottom