Marekani lazima akae, vita hakuna tena

Marekani lazima akae, vita hakuna tena

ki uhalisia vita ndo inaanza.
Marekan haikuwa na taarifa za kutosha kuingia vitani na korea....
Trump hatakubali kuwa humiliated this much..kabla hajaondoka am sure ataingia vitan na korea tuu.
ivyo kwa sasa ataweka nguvu zake nyingi kwenye kwenye Intel gathering ambayo itamwezesha kushinda vita mapema..
ivyo north nae ataongeza nguvu kwenye jeshi na kuficha taarifa zake...

ivyo vita ndo imeanza na tension itakuwa kubwa saana.
 
Mchango ni mzuri sana lakini wenye kikomo ,pale ambapo sisi tunaishia ktk kulitazama jambo ndipo na wengine huanzia hapo kwenda mbele..Nnajua hili ulilo lisema Us wanalijua kabla ya kuamua.walichoamua mpaka sasa.

Huyo dogo ni hatari sana kuachwa hivi hivi kuendelea kumiliki silaha hatari Duniani hasa ukizingatia na Akili zake ..
Huyo dogo amezikuta hizo silaha na ataziacha. Acheni kupotosha watu. NK inamiliki silaha za maangamizi na wala sio Kim Jong- Un. Tangu awe nazo kama Taifa ni lini amezitumia hata kuulia mende tu?
 
Historia inaanza kujiandika. NK naamini watafanya jambo tofauti .naomba Mungu ampe uwezo aifute USA. Ili lile deni analotudai liwe limekufa kifo cha mende. Nani atalipwa ilihali mdai alikufa ?,
 
Mmarekani ni mwoga sana! Hakuna cha trick wala nini! Yeye hupenda kupiga lakini hayuko tayari kupata hata mchubuko!
Iraq alishinda lakini alipoteza mpaka sasa askari zaidi ya 2000! Hatakaa arudie uvamizi kama wa iraq, ilimuuma sana!
Hapo alikuwa anawategemea Korea kusini ndo wapigane ana kwa ana na Korea kaskazini! Yeye angelianzisha tokea majini halafu ardhini awaachie Korea kusini! Korea kusini huo mziki hauwezi!
Trump hakuamini kama huo mkwara wake mapank ataubeza! Ile kupiga Afaghanistan ilikuwa ni sehemu ya mkwara kwa korea kaskazini!
Na Mapanki Ameshamwambia mie sio Mwarabu, sasa ole wake alianzishe aone mziki wake...
 
Kama kuna mrusi korea basi fahamu pia kuna muisrael marekani na hapo ndipo WW3
 
Huwezi kumlinganisha Mrusi na Muisrael. Muisrael anapigana na wapalestina ambao hawana jeshi.
 
Back
Top Bottom