Marekani lazima akae, vita hakuna tena

Marekani lazima akae, vita hakuna tena

We unadhani China akiingia utashangaa all asian countries zinakuwa upande wa china. India now hawako sawa na Us na wao wana nuclear now wanafanya business na Iran. Hakuna atakaye kosa rafiki. Ndio maana itakuwa world war 3.
Asia huko USA katawala na kuhusu mgogoro wa black sea USA alipeleka manowari kule jambo lililoamsha tension na china ,sidhani kama china ataungwa mkono labda duterte kidogo ndiye ameonyesha urafiki na ushirikiano na china kuliko USA

India sidhani

Cha msingi china na Urusi watasimama kidete ,hawatotaka peninsula yao iharibiwe kwa uvamizi wa NK
 
Mpaka sasa dalili zinaonyesha Marekani kuweka mpira kwapani kwani msafara wa meli zqke unaiacha Korea na kwenda pasipo julikana kingine watu wanashindwa kujua Marekani anawaweza waarabu kwa vile waarabu na waafrica ni wanafiki si kwa jamii ya Mongolian races wao ni tofauti sana vita tu vya Vietnam marekani alikimbia kaja Mfaransa nae kakimbia eneo la Asia Pacific limekaa vibaya sana sasa angalia Japan anapeleka jeshi Korea kusini kwa kulinda raia wake Russia anapeleka majeshi China nae ameshapeleka wanajeshi mpakani na Korea hv hapo ujajua tu kuwa vita hv vitakuwa vita vibaya sana Uingereza nao watapeleka majeshi kulinda ndugu zao New Zealand na Australia

Marekani ni lazima arudi nyuma kwani vita hv vinakwenda kushusha uchumi wake leo Korea kaskazini hana cha kupoteza kama ilivyokuwa kwa Vietnam ndio maana unaona kiburi cha Kim wakati Trump akishinda kwenye mitandao ya Kijamii na kuchimba mikwala Kim anaendelea na nuclear program zake na kujaribu makombora yake
Kwanza Marekani historia inatukumbusha ana uwezo mdogo sana wa kushinda vita akipigana peke yake pasi kutegemea wale 'washirika' wake, historia ni mwalimu mzuri sana na tunapaswa kujifunza kwake.
Ni kama Marekani anapenda sana vita lakini vita hazimpendi, anachokimbilia sana sana huwa ni silaha za maangamizi tu sasa kwa nchi inayoonekana kumiliki pia hizi silaha anakuwa hana pakutokea.
Mikwara yao inajibiwa kwa vitendo hii sasa ni aibu kwa wanaojitapa ni superpower.
 
Hahaha na sasa kawalisha wanawe tayar. Juzi tu kamuuzia Syria defense system.. Lkn US kapiga.... Putin kasema Eti Tomawack zimedondokea Baharini anaambiwa leta picha kazama mitini.. Hhahahha
6fb7b8cbd30d2bb437448d7b6d1039a7.jpg
 
Upo vizuri, na bado mataifa mengine yanaangalia upepo unakwendaje. Nk atapata wafuasi wengi tuu.
Iran pia haitokaa nyuma. Marekani mshari sana wewe mtu mmepiga vikwazo miaka 50+ na ana shida na mtu unataka kumfanyia ubabe wa kivita.
 
Si tuliwambia kwamba hakuna vita, walikua wanatisha watu tu
 
Hahaha na sasa kawalisha wanawe tayar. Juzi tu kamuuzia Syria defense system.. Lkn US kapiga.... Putin kasema Eti Tomawack zimedondokea Baharini anaambiwa leta picha kazama mitini.. Hhahahha
Vipi wale SEAL mlisema wanaenda Korea hawajafika bado?

Manoari iliyotumwa na Trump na kuisifia ni very powerful imeishia wapi?

Au vita sikuhizi zinapiganwa Twitter... hahahaha aibuuu hii
 
Back
Top Bottom