Marekani lazima akae, vita hakuna tena

Marekani lazima akae, vita hakuna tena

Putin Atawadangany mpaka mwisho juzi tu kawalisha upupu Eti ana bomu la kuzamisha France na. UK ...sijuw Russia Nuks zake anatestia galaxy gani
Putin huwa ni muongo sana aliwaambia waarabu....wenye dini yao hiyo wakithubutu kupiga ama kujitoa muhanga wa bom pale Russia....ndani ya masaa6 ...angeangamiza waislam wote duniani..
 
Putin huwa ni muongo sana aliwaambia waarabu....wenye dini yao hiyo wakithubutu kupiga ama kujitoa muhanga wa bom pale Russia....ndani ya masaa6 ...angeangamiza waislam wote duniani..
Hahaha na sasa kawalisha wanawe tayar. Juzi tu kamuuzia Syria defense system.. Lkn US kapiga.... Putin kasema Eti Tomawack zimedondokea Baharini anaambiwa leta picha kazama mitini.. Hhahahha
 
Tatizo allies mfano Bahrain kuna USA military base

Kuwait naye ni wa USA


Saudia wanashirikiana&USA na mkataba wao

So nchi ya kuisapoti urusi ,north Korea ni wabishi Iran tu ,
We unadhani China akiingia utashangaa all asian countries zinakuwa upande wa china. India now hawako sawa na Us na wao wana nuclear now wanafanya business na Iran. Hakuna atakaye kosa rafiki. Ndio maana itakuwa world war 3.
 
Trump ni lazima ajue ni Korea kaskazini pekee ndio utakuwa na full access ya kuingia nchi mbili ambazo ni Russia na China nchi zote ndizo zenye mpaka na Korea Kaskazini so kitendo cha US kuingia North Korea na kuikalia kijeshi inamaana anakua anaichungulia Russia wakiwa wametenganishwa na mto tu na pia anakua anaichungulia China wakiwa wametenganishwa na mto tu

So kwa Russia ni ngumu sana kunywa vodka Moscow wakati adui anaweza kuingia Russia kwa kuogelea tu

Pia kwa China ni vigumu kunywa Xinjiang Black Beer Beijing huku adui anaweza kuingia China kwa kuogelea Marekani anatakiwa kujua ni Lazima Russia na China kushiriki vita hvyo kama vikitokea aidha kwa kificho au kwa wazi
Excellent mkuu, hizi ndo comments za kusoma unagundua kabsa mtu kafkri mbali, fikra yakinifu,
Sio kama wajinga wengine sijui wanatumia meno kufkr!
 
Trump ni lazima ajue ni Korea kaskazini pekee ndio utakuwa na full access ya kuingia nchi mbili ambazo ni Russia na China nchi zote ndizo zenye mpaka na Korea Kaskazini so kitendo cha US kuingia North Korea na kuikalia kijeshi inamaana anakua anaichungulia Russia wakiwa wametenganishwa na mto tu na pia anakua anaichungulia China wakiwa wametenganishwa na mto tu

So kwa Russia ni ngumu sana kunywa vodka Moscow wakati adui anaweza kuingia Russia kwa kuogelea tu

Pia kwa China ni vigumu kunywa Xinjiang Black Beer Beijing huku adui anaweza kuingia China kwa kuogelea Marekani anatakiwa kujua ni Lazima Russia na China kushiriki vita hvyo kama vikitokea aidha kwa kificho au kwa wazi
Hata USA hawezi kurisk kiasi hicho cha kuingia kichwa kichwa tu huko, akijipendekeza tu atajuta sana na wenzake wenye akili na hekima wameshamuonya kuwa akiingiza pua lake huko hakutakua na mshindi. Yani ni 'we all die together.'
Hii itakuwa zaidi ya alichovuna kule Vietnam hadi kufikia hatua ya kutupa silaha zake anazojitapa nazo na kukimbia na sifikirii kama wamesahau haraka hivi.
Kwanza ni rahisi sana kukumbuka kama wamesahau itakuwa ni kichekesho cha karne hiki, we fikiria vita imeumana maumivu yake yanavyozidi hadi wanathubutu kuibuka watu na kuanza kuipinga na hatimaye wanapata support kubwa kwa jamii kumbuka kuipinga vita ambayo inaendelea au nchi yako inashiriki hadharani ni kama uhaini na siyo kitu rahisi sababu unaonekana unaungana na upande wa adui, sasa kama ile vita USA aliambulia maumivu makubwa sana na sasa akithubutu itakuwa ni zaidi ya kule na raia wake wakianza kupata maumivu wataanza kupinga tu.

Tafuteni hotuba moja ya mwanaharakati na pastor Martin Luther King Jr. inaitwa Beyond Vietnam au Why im opposed to the war in Vietnam/A time to break silence alizungumzia haya yote anayofanya USA.
Hapa namnukuu kidogo ili watu wajue nini kipo kwa hii hotuba...
"Even when pressed by the demands of inner truth, men do not easily assume the task of opposing their government's policy, especially in time of war. Nor does the human spirit move without great difficulty against all the apathy of conformist thought within one's own bosom and in the surrounding world. Moreover, when the issues at hand seem as perplexing, as they often do in the case of this dreadful conflict, we're always on the verge of being mesmerized by uncertainty. But we must move on. Some of us who have already begun to break the silence of the night have found that the calling to speak is often a vocation of agony. But we must speak. We must speak with all the humility that is appropriate to our limited vision, but we must speak. And we must rejoice as well, for in all our history there has never been such a monumental dissent during a war, by the American people." mwisho wa kunukuu.

So USA wasijitoe tu ufahamu na kuvamia tu mataifa huru ya watu wengine wategemee kuchekewa la hasha mateso yatakuwa kwa watu wao pia ambao ni Amerian people.
 
Trump anataka kurudi ikulu after 4 years. Sasa hana uhakika na mafanikio ya vita hii anaweza akaingia halafu yakawa ya korea then akawapa chance democratic kurudi umeona hatari hiyo ndio maana kaufyata. But akindishinda next term then atajitahidi now ajue huyu Kim uwezo wa silaha zake nje ndani ndio atampiga next term.
Kumbukeni Sadam kilichomkost ni kukubali kukaguliwa na wale mamluki wa UN us wakajua jamaa mweupe hana silaha wala nn. So NK alilijua hili.mapema akawafurusha hawa wakaguzi haraka akilajijenga kisilaha nankinuclear. Na anaishi kisiri sana huko kwao so inakuwa ngumu kwa US kujua uwezo wa jamaa na hilo latosha kwa us kutoingia kichwa kichwa.
 
Hata USA hawezi kurisk kiasi hicho cha kuingia kichwa kichwa tu huko, akijipendekeza tu atajuta sana na wenzake wenye akili na hekima wameshamuonya kuwa akiingiza pua lake huko hakutakua na mshindi. Yani ni 'we all die together.'
Hii itakuwa zaidi ya alichovuna kule Vietnam hadi kufikia hatua ya kutupa silaha zake anazojitapa nazo na kukimbia na sifikirii kama wamesahau haraka hivi.
Kwanza ni rahisi sana kukumbuka kama wamesahau itakuwa ni kichekesho cha karne hiki, we fikiria vita imeumana maumivu yake yanavyozidi hadi wanathubutu kuibuka watu na kuanza kuipinga na hatimaye wanapata support kubwa kwa jamii maana yake ile vita USA aliambulia maumivu makubwa sana na sasa akithubutu itakuwa ni zaidi ya kule.

Tafuteni hotuba moja ya mwanaharakati na pastor Martin Luther King Jr. inaitwa Beyond Vietnam au Why im opposed to the war in Vietnam/A time to break silence alizungumzia haya yote anayofanya USA.
Hapa namnukuu kidogo ili watu wajue nini kipo kwa hii hotuba...
"Even when pressed by the demands of inner truth, men do not easily assume the task of opposing their government's policy, especially in time of war. Nor does the human spirit move without great difficulty against all the apathy of conformist thought within one's own bosom and in the surrounding world. Moreover, when the issues at hand seem as perplexing, as they often do in the case of this dreadful conflict, we're always on the verge of being mesmerized by uncertainty. But we must move on. Some of us who have already begun to break the silence of the night have found that the calling to speak is often a vocation of agony. But we must speak. We must speak with all the humility that is appropriate to our limited vision, but we must speak. And we must rejoice as well, for in all our history there has never been such a monumental dissent during a war, by the American people." mwisho wa kunukuu.

So USA wasijitoe tu ufahamu na kuvamia tu mataifa huru ya watu wengine wategemee kuchekewa la hasha mateso yatakuwa kwa watu wao pia ambao ni Amerian people.
Mpaka sasa dalili zinaonyesha Marekani kuweka mpira kwapani kwani msafara wa meli zqke unaiacha Korea na kwenda pasipo julikana kingine watu wanashindwa kujua Marekani anawaweza waarabu kwa vile waarabu na waafrica ni wanafiki si kwa jamii ya Mongolian races wao ni tofauti sana vita tu vya Vietnam marekani alikimbia kaja Mfaransa nae kakimbia eneo la Asia Pacific limekaa vibaya sana sasa angalia Japan anapeleka jeshi Korea kusini kwa kulinda raia wake Russia anapeleka majeshi China nae ameshapeleka wanajeshi mpakani na Korea hv hapo ujajua tu kuwa vita hv vitakuwa vita vibaya sana Uingereza nao watapeleka majeshi kulinda ndugu zao New Zealand na Australia

Marekani ni lazima arudi nyuma kwani vita hv vinakwenda kushusha uchumi wake leo Korea kaskazini hana cha kupoteza kama ilivyokuwa kwa Vietnam ndio maana unaona kiburi cha Kim wakati Trump akishinda kwenye mitandao ya Kijamii na kuchimba mikwara mbuzi Kim yeye anaendelea na nuclear program zake na kujaribu makombora yake
 
Back
Top Bottom