Sio kweli ni propaganda za Wamarekani kwa Venezuela ni kama anatafuta sababu za kuivamia. Mexico, Columbia ndio watengenezaji na wauzaji wakuu wa hizi dawa Venezuela ni kama route tu. Kwanini asideal na wazalishaji ambapo ndipo kuna source. Jibu ni kwamba Venezuela ndio nchi yenye deposite kubwa ya mafuta kuliko nchi yoyote duniani. Marekai anaisaka venuzuela toka enzi za Hugo Chávez na wakati huo madai yake yalikuwa mengine tu, sasa kaja zama hizi na madai mengine hadi kadeploy submarines kwenye ufukwe wa venezuela.Hivi NI kweli Venezuela wanauza madawa kulevya MAREKANI yaani nchi km nchi kbs inaingiza mapato
IImagine wao ndio wanaamua nani gaidi, nani dictator nani si gaidi... na dunia tunakubaliana nao tu. Halafu hawafichi wanakwamba kabisa huyo anatishia maslahi yao utadhani ni maslahi ya sisi sote.Hawa washenzi U.S leo Rais wa Syria ni rafiki yao
Mmarekani bado humjui Tu, hizo ni sinema zake ili amtandike na kuangusha utawala wa maduro.Hivi NI kweli Venezuela wanauza madawa kulevya MAREKANI yaani nchi km nchi kbs inaingiza mapato
Wewe unayo hiyo pesa.hiyo pesa mbona ndogo sana
hahaaaa hiyo pesa kwa matumizi ya ulaya ni kama hela mchicha tu.Wewe unayo hiyo pesa.