Wenye wivu kama aliousema Six huwaita mabeberuUSA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Unaweza ukaamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
Haishangazi,wenye waliuawa na waingereza..so nchi imekua jalala,Ina fursa..kweli,lakini Haina utu Wala utamaduni,ni mkusanyiko tu wa watu na tabia na mambo ya ajabuUnaweza ukamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
Nchi gani yenye utu?HSA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Haishangazi,wenye waliuawa na waingereza..so nchi imekua jalala,Ina fursa..kweli,lakini Haina utu Wala utamaduni,ni mkusanyiko tu wa watu na tabia na mambo ya ajabu
USANchi gani yenye utu?
Wapi ni salama waende wakaishi?
- Russia inaipiga Ukraine sasa hivi.
- Mwanamke hajafunika kichwa wamemyonga.
- China anataka kuipa Taiwan
- Tanzania, watu walikuwa wanapotea, wengine wanateka na kuawawa na watu wasiojulikana.
- Nchi za kiarabu wadada wa kazi za ndani wanauliwa kila kukicha.
- Sudan, watu wamegawana nchi na ni waislam 100%
- Somalia Alshabab hao
- Nigeria unakutana na boko Haram
USA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Unaweza ukamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
USA wameonyesha udhaifu, kwanini walishindwa kulidaka hilo puto ili walichunguze zaidi?Kwa mujibu wa chanzo chetu cha BCC wamarekani walikuwa wakingojea lifike eneo la bahari ili kuepusha madhara wa waliko chini ikibukwe puto hilo lilikuwa juu ya eneo la nuclear plant hivyo mabaki yake (debris) yangeweza kuleta madhara.
USSR View attachment 2506511View attachment 2506512
USA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Unaweza ukamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
Wanachukua Debris "Mabaki" kwa ajili ya uchunguzi.USA wameonyesha udhaifu, kwanini walishindwa kulidaka hilo puto ili walichunguze zaidi?
Mbona haujaandika Mabwana zako walivyomuua Gadafi bila kosa au Sadam HusseinNchi gani yenye utu?
Wapi ni salama waende wakaishi?
- Russia inaipiga Ukraine sasa hivi.
- Mwanamke hajafunika kichwa wamemyonga.
- China anataka kuipa Taiwan
- Tanzania, watu walikuwa wanapotea, wengine wanateka na kuawawa na watu wasiojulikana.
- Nchi za kiarabu wadada wa kazi za ndani wanauliwa kila kukicha.
- Sudan, watu wamegawana nchi na ni waislam 100%
- Somalia Alshabab hao
- Nigeria unakutana na boko Haram
Unaiyona ya kipekee kwa sababu hujui historia ya nchi ya marekani.USA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Unaweza ukamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
Hiyo huwa ni danganya Toto tu,wenye nchi huwa tayari wameweka agenda mezani,so hao huwa wanatakiwa kupita humohumo sio kuja na agenda zao,na ukijifanya mjuaji utake kuwasahihisha Basi fasta wanaku r.i.p. Hivyo kwa marekani hata mwendawazimu inimradi ajue kuongea ,kusoma na ku saini mikataba Basi!,kwa sbb kila kitu unakikuta mezani ww ni kusaini tu .USA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Unaweza ukamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
Usa nchi ya hovyoUSA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Unaweza ukamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
Wanasayansi wa Kichina matata sana, kama una interest na masuala ya sayansi na teknolojia ebu jaribu kusoma chapisho lao la kisayansi ingawa ni refu kidogo lakini utajifunza mengi kwamba wanasayansi wa Kichina hawana mchezo - wana uwezo mkubwa wa ku-control puto liende popote wanako taka wao - binafsi sioni ajabu kwa nini USA ilihamua kulitungua, ingawa linaweza kuwa lilikuwa kwenye mission ya utafiti wa hali ya hewa na OZONE layer - who knows??Si Puto tu au kuna kingine?
Kwa kuwa limetunguliwa ni muda sahihi wa China kujibu mapigo kwa kutunguliwa puto lao. Tusubiri Mchina apeleke fighter jets in American airspace.Too late. Wachina washasave info. Ila Wachina nao bwana. Wamechemsha, walitakiwa waliset ili lisionekane.