Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,616
- 14,002
Taqiyya ni uwongo, uwongo ni haramu, na chochote kinacho jumuisha kitendo kilicho haramishwa ni haramu.Taqqiyah ndio nini?
Taqiyya haihusiani na uwongo kila mara, kwani taqiyya inaweza kuwa ni ujumbe wa ukimya, ambapo ndani yake hakuna maneno unayoweza kuyakuta ya uwongo.
Kuna lingine