majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 746
- 1,000
Mbona ndege zenyewe zimepitwa na wakati?Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.
Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.
Hivi TAQIYYAH kwenu ni lazima?
Kinacho onekana ni MAMLUKI tu wanatengeneza vita ili kuidhoofisha dola..... ila hawataweza!Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.
Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.
Ni precious bad bird, ziko upgraded to meet the 21 century technological demands/requirementMbona ndege zenyewe zimepitwa na wakati?
Mbona ndege zenyewe zimepitwa na wakati?
Acha uongoMnapenda kuipa Iran ukuu ambao haijawahi kuwa nao.
Jiulize, Iran ilipigana na Iraq kwa miaka mingapi? Hivi unafahamu kuwa airan ilidhibitiwa na Iraq kwenye mapigano mpaka kufikia kuomba msaada kwa Israel?
Soma hapa ndiyo utaona usivyo na uelewa:
Israel supported Iran during the IranβIraq War. Israel was one of the main suppliers of military equipment to Iran during the war. Israel also provided military instructors during the war, and in turn received Iranian intelligence that helped it carry out Operation Opera against Iraq's Osirak nuclear reactor.
Ni kweli tupu, hata kama uko disappointedAcha uongo
Akili yako kiduchu unadhani Magaidi wa Hamas hii ngoma watashinda!? Hizo ni ndoto za mwendawazimu zinakusumbua!!!Marekani haiwezi kuivamiaKwani israel tayari ametangazwa mshindi vita ya Gaza?? si ndio kwanza Israel wanataka ceasefire Hamas wanakataa
Kuna tofauti ya kuvamia na kushambulia!! Marekani itaishambulia Iran kama nchi hiyo italeta za kuleta!!Uwezo wa marekano kuivamia Iran ni mdogo sana jeshi la Marekani ni dhaifu usidanganyike na muvi ....
Hakuna mtu kaipambanisha Iran na USA, nilichosema ni kuhusu silaha na masuala ya kiteknolojia za kijeshi ilivyobadilika, nchi nyingi sasa hata ndege vita kurusha wanakuwa waangalifu sana, ndio maana hata Russia hajapata air superiority nchini Ukraine, leo hii kuna kila aina ya makombora kama hizo MANPADS, patriots, s400 n.k, hata hizo stealth kama F-35 zinadhibitika...factor muhimu hapo kwa any powerful military power ni..technology, budget, and global reach USA hapo wako vizuri kuzidi
Mzungu asijali vipi wakati mshirika wao yuko mashariki ya kati amezungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo hayamtaki.Who cares bro. Hiv unafikir mzungu anajali hilo. Sema sisi ndio tutakufa kabisa kiuchumi
.......... Cha kushangaza na ndipo rais wao akafariki kwenye ajali akiwa ndani ya ndege moja kuukuu ya Marekani sijui hizo za Iran zilikuwa wapi siku hiyo angezipanda.πππππMitambo inayotestiwa waajemi waliposilimu ndio wahusika wakuu wa kuivumbua.
Wanasayansi kibao waliogundua madawa ya kutengenezea mabomu na kujishughulisha na mambo ya anga waliotokea maeneo ya Iran na jirani yake.
Ndege zitafuata baadae.Ama kwa ballistic na nuclear hakuna mjadala........... Cha kushangaza na ndipo rais wao akafariki kwenye ajali akiwa ndani ya ndege moja kuukuu ya Marekani sijui hizo za Iran zilikuwa wapi siku hiyo angezipanda.πππππ
Wana global reach, bila kuingiza buti aridhiniKwa
Akili yako kiduchu unadhani Magaidi wa Hamas hii ngoma watashinda!? Hizo ni ndoto za mwendawazimu zinakusumbua!!!Marekani haiwezi kuivamia
Kuna tofauti ya kuvamia na kushambulia!! Marekani itaishambulia Iran kama nchi hiyo italeta za kuleta!!
Kwani US ana ukuu gani lini US alienda vitani peke yake akashinda na haijawahi kutokea akaenda vita peke yakeKwa hapo Wafuga Midevu na Majini akina Webabu mdogoye Adiosamigo na Bwana wao Ritz umewaumbua sana!!
Eti Marekani haijawahi kwenda vitani peke yake na Huko Vietnam alienda na Mama yako tu na hatujui Usiku ilikuwaje maana walikuwa wawili tu!!Kwani US ana ukuu gani lini US alienda vitani peke yake akashinda na haijawahi kutokea akaenda vita peke yake