Marekani imeanza ku-test Mitambo

Marekani imeanza ku-test Mitambo

Wanao mwendesha trump ni Russia na Netanyahu.Urusi anaichukua ulaya magharibi,Netanyahu anawachukia waarabu
 
..mbona walitii amri ya mazungumzo, ni us ndyo waliwa summon Iran waende Oman, hakuna silaha ya IRAN inaweza fika USA, lakini USA sasa wanacheza karibu na mwambao wa Iran
mazungumzo iran hakuwahi kukataa
 
Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.

Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.

Daah ila kuna watu wanaishi kwa mashaka haya madege yanatia wasi wasi
 
USA anautemi wa kipumbavu yaani majadiliano yanafanyika lakini unalazimishwa uyakubali hata km hayana maslahi kwa taifa lako bahati mbaya kamkuta anaemtisha sio muoga wa vita na alikuwa anajiandaa zaidi ya miaka 30+ alikuwa anajua
Kwa akili yako Iran anaweza kuvimba mbele ya Marekani? Kumbuka alipoambiwa kuzungumza alikataa lakini marekani ilipokaza alikubali akitoa akiendelea kukataa kipondo kinamhusu!!!
 
unaamini USA anaweza kuanzisha vita na iran? kwa level ya technology ya iran aliyofikia sasa hv asitegemee hyo vita atashinda km iraq hzo warship zake zote itabidi azirudishe nyumbani zikapumzike asizitumie kwenye hyo vita yatakua makaburi
Usa kama anataka aaibike na kumalizia ngwe yake ikiyobaki basi amsikilize netanyahu aingie vitan na iran
 
Kwa akili yako Iran anaweza kuvimba mbele ya Marekani? Kumbuka alipoambiwa kuzungumza alikataa lakini marekani ilipokaza alikubali akitoa akiendelea kukataa kipondo kinamhusu!!!
Kama huthi pekee imeshindikana na makeria itakuwa carier . Kwanza hizo carier hatathubuti kuzipeleka huko maana haitarudi hata moja
 
Kama huthi pekee imeshindikana na makeria itakuwa carier . Kwanza hizo carier hatathubuti kuzipeleka huko maana haitarudi hata moja
Houth mbona wamenyoshwa zamani, collabo ya US na Israel
"There’s no doubt that the US campaign has degraded the Houthis’ capabilities"-CNN, Aljazeera et al
 
USA anautemi wa kipumbavu yaani majadiliano yanafanyika lakini unalazimishwa uyakubali hata km hayana maslahi kwa taifa lako bahati mbaya kamkuta anaemtisha sio muoga wa vita na alikuwa anajiandaa zaidi ya miaka 30+ alikuwa anajua
With two US Carrier Strike Groups (CSGs) now operating in the area, it appears that the regular Iranian Navy (Nedaja) has withdrawn from the Red Sea and Gulf of Aden station.
 
Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.

Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.

bado mnaendelea na mipasho akina juma lokole!
 
Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.

Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.

Ikiwa USA itaivamia Irani🇮🇷, Itakuwa traped kwenye vita nyingine na Uchina ataondoka na TAIWAN yake...

Karata zinachangwa. Huku tariff huku vita...

Uchumi wa MAREKANI hauko kwenye nafasi ya kuanzisha vita mpya sasa hivi...

Labda kushambulia, kuivuruga na kuiacha...

Breeding ground for another insurgents
 
Kwani israel tayari ametangazwa mshindi vita ya Gaza?? si ndio kwanza Israel wanataka ceasefire Hamas wanakataa

Kwani israel tayari ametangazwa mshindi vita ya Gaza?? si ndio kwanza Israel wanataka ceasefire Hamas wanakataa
Ushindi mbona uko wazi;
Kwani israel tayari ametangazwa mshindi vita ya Gaza?? si ndio kwanza Israel wanataka ceasefire Hamas wanakataa
The United Nations estimates that it will cost $53bn to reconstruct Gaza, and a UNDP report released last year said it could take until at least 2040.
ushindi gani unataka? Israel infrastructure iko intact na tourist bado wanenda, Tanzanians included mwezi huu wengi wameenda kuhiji
 
Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.

Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.

Chuma chakavu ...mbwembwe nyingi vitendo 0
 
Houth mbona wamenyoshwa zamani, collabo ya US na Israel
"There’s no doubt that the US campaign has degraded the Houthis’ capabilities"-CNN, Aljazeera et al
Ndio kwa sasa meli zinapita red sea na wahuth wamesitisha kurusha makomboro kwende israel
 
Ikiwa USA itaivamia Irani🇮🇷, Itakuwa traped kwenye vita nyingine na Uchina ataondoka na TAIWAN yake...

Karata zinachangwa. Huku tariff huku vita...

Uchumi wa MAREKANI hauko kwenye nafasi ya kuanzisha vita mpya sasa hivi...

Labda kushambulia, kuivuruga na kuiacha...

Breeding ground for another insurgents
Uwezo wa marekano kuivamia Iran ni mdogo sana jeshi la Marekani ni dhaifu usidanganyike na muvi ....
 
Back
Top Bottom